Jokes,utani na udaku

Jokes,utani na udaku

Joined
Feb 19, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Hi jf ukitaka kutumia hizo jokes hapo utatumiaje. Kama vile kumtumia mtu kwenye sms plz. Thnx
 
Njia rahisi ni kama ifuatavyo;-unafungua page, kisha unachukua simu yako ya mkononi,unafungua sehemu ya camera,unaipiga picha hiyo page na kuituma
 
Kama simu yako inaweza kucopy na kupaste ni rahisi. Una- select all, kisha copy, nenda kwa sms box unapaste.

Sina hakika kama itasaidia, ila jaribU mkUu
 
Unachukua jokes/utani wako.
Unauosha vizuri na maji,baada ya hapo unakausha maji,then unakunja vizuri jokes/utani wako
unaupack ktk box tayari kwa kutuma

pia ahakikishe box analofungia sio gumu kwani anaweza akaharibu joke au utani wenyewe. mimi nimeshawahi kuharibu kwa kufunga kwenye box gumu.
 
Unachukua jokes/utani wako.
Unauosha vizuri na maji,baada ya hapo unakausha maji,then unakunja vizuri jokes/utani wako
unaupack ktk box tayari kwa kutuma

samahani,kumbe nimepita jukwaa la machizi!!
 
Unacopy na kupaste km simu inaweza wa kufanya hivyo kama haiwezi itakubidi uandike herufi moja moja then ndo unamtumia mtu
 
Hi jf ukitaka kutumia hizo jokes hapo utatumiaje. Kama vile kumtumia mtu kwenye sms plz. Thnx
kama unataka kumtumia mtu kwenye simu ni rahisi sana, angalia hatua zifuatazo:-
1. jaza maji lita kumi kwenye ndoo,
2. weka pakiti 3 za chumvi
3.koroga kwa dakika 5.
4.tia simu yako ndani ya ndoo kisha koroga kwa dakika 20.
5. toa simu yako ndani ya maji na ujumbe wako wa jokes/utani utakuwa umepokelewa kwa unayemtumia.
 
tena mwambiee aangarie box lnyw lsiwe jeuc lnaweza kuchafua jokes/utan
 
Kwa majibu haya ndugu pole hata mimi nimeogopa kuuliza swali humu du!! chai mtu wangu
 
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teeeeeeh, unauliza swali kwenye jukwaa la utani lazima watu watakujibu kiutani tu
 
Acheni uwongo Ni hiviii, chukua jokes kama kilo mbili, nyaya 5 vitunguu 2 na usishau pilipili kichaa Kisha kaanga kwa moto WA gesi akiiva mpakue na kumfunga kwenye box na mwisho mtuma kwa mpenzio
 
Acheni uwongo Ni hiviii, chukua jokes kama kilo mbili, nyaya 5 vitunguu 2 na usishau pilipili kichaa Kisha kaanga kwa moto WA gesi akiiva mpakue na kumfunga kwenye box na mwisho mtuma kwa mpenzio

Hahahahaha. Kwel ameingilia mlango wa kutokea kwa majibu haya nadhani atafurai na roho yake
 
Back
Top Bottom