Joke: Mfano likapinduka, CCM watasema nini?

Joke: Mfano likapinduka, CCM watasema nini?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,532
Naeleza mfano 😂
IMG_2382.jpeg
 
According to waganga wa kienyeji, wanavyokufa wengi ndio mafanikio yanakua makubwa zaidi.
 
Jitu la miraba minne jitu mwitu msitu, rijali matata 😁
Wapo wamama wa Kikurya na wakichaga mijitu imeenda hewani mwili miraba minne.

Lakini wake za watu, rijali wa kike wakiwa na waume zao.

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Ila ukizinguana naye anakufinyanga mfano wa godoro la watoto wa shule la futi 2. Utajuta kuoa mwili jumba.
 
Naona mleta mada wamemla kichwa.

"Kuna wenzetu walikodi usafiri binafsi kwa mapenzi yao kwa chama na wagombea ili kushiriki nasi,bahati mbaya wakapata ajali isiyo na madhara" 😂
 

Attachments

  • markup_1000672422.png
    markup_1000672422.png
    320.7 KB · Views: 11
Back
Top Bottom