gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,281
Watoto wa mjini wanasema ukizubaa,utaingizwa kingi.
Napenda kukupa tahadhali ewe mkuu John, unatakiwa ushtuke mapema kwani mambo yanavyokwenda utalala doro!
Mkuu hujiulizi, inakuwaje watu wateuliwe kushika nyazifa kubwa siku tatu kabla ya kukabidhiwa rungu? Tena yule wa mwisho aliteuliwa kuwa katibu tawala pale Lindi siku moja tu kabla hujaapishwa, mwingine ukapewa umwapishe kuwa mshauri wako wa mikataba yote utakayoingia, ikiwa ni masaa 18 tu toka upewe rungu, duh! Kwani hujui kule Kusini kuna nini kinatakiwa?
Haya sasa, leo unatenguwa uteuzi halafu unafanya uteuzi kwa mtu huyo huyo kuwa mbunge, siku hiyo hiyo mtu huyo anajitoa kutaka cheo kile na siku hiyo hiyo anataka kingine hivi ni kweli haya maamuzi ya kiswahili umeyatoa wewe jembe letu John au umebambikiwa?
Haya juzi uneenda kuikagua ile mashine pale hosipitalini, ikatengenezwa, siku tatu tu imeharibika. Tena, imeharibika moyo wake. Kwa kukufafanulia tu ni kuwa, ile mashine imeharibika kifaa kiitwacho (Redio frequence amplifier) ambacho ndio moyo wake, bila hicho hakuna hiyo mashine!! Kwa mujibu wa mtandao wa hiyo kampuni iliyopewa zabuni ya ya ukarabati kifaa hicho kinauzwa usd 97,000! Mil. 200 za madafu, upo mkuu?
Ukienda lesi tena unapigwa kivingine hujashtuka tu?
Mkuu John ngoja nikuache, usiposhtuka sasa, solemba pale Ubungo mataa inakuhusu !
Napenda kukupa tahadhali ewe mkuu John, unatakiwa ushtuke mapema kwani mambo yanavyokwenda utalala doro!
Mkuu hujiulizi, inakuwaje watu wateuliwe kushika nyazifa kubwa siku tatu kabla ya kukabidhiwa rungu? Tena yule wa mwisho aliteuliwa kuwa katibu tawala pale Lindi siku moja tu kabla hujaapishwa, mwingine ukapewa umwapishe kuwa mshauri wako wa mikataba yote utakayoingia, ikiwa ni masaa 18 tu toka upewe rungu, duh! Kwani hujui kule Kusini kuna nini kinatakiwa?
Haya sasa, leo unatenguwa uteuzi halafu unafanya uteuzi kwa mtu huyo huyo kuwa mbunge, siku hiyo hiyo mtu huyo anajitoa kutaka cheo kile na siku hiyo hiyo anataka kingine hivi ni kweli haya maamuzi ya kiswahili umeyatoa wewe jembe letu John au umebambikiwa?
Haya juzi uneenda kuikagua ile mashine pale hosipitalini, ikatengenezwa, siku tatu tu imeharibika. Tena, imeharibika moyo wake. Kwa kukufafanulia tu ni kuwa, ile mashine imeharibika kifaa kiitwacho (Redio frequence amplifier) ambacho ndio moyo wake, bila hicho hakuna hiyo mashine!! Kwa mujibu wa mtandao wa hiyo kampuni iliyopewa zabuni ya ya ukarabati kifaa hicho kinauzwa usd 97,000! Mil. 200 za madafu, upo mkuu?
Ukienda lesi tena unapigwa kivingine hujashtuka tu?
Mkuu John ngoja nikuache, usiposhtuka sasa, solemba pale Ubungo mataa inakuhusu !