John Shibuda: Tundu Lissu ni Interahamwe

John Shibuda: Tundu Lissu ni Interahamwe

mh mbowe akiwa mwanza wananchi walimtaka aseme jambo juu ya shibuda, lkn mh mbowe aliishia tu kusema shibuda ni mtu mchache n mwepesi sana siwezi kumuongelea, kweli shibuda kaonesha uchache na wepesi wake kajitoa mwenyewe kabla ya ghalika kumkuta, hongera sana mbowe Mh, Mungu kakupa uwezo wa kuona mbali unastahili kuiongoza cdm
 
Kwanini misukule ya magamba aka ACT wana shabikia watu kama zito, shibuda na arf? Kuna nini nyuma ya pazia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom