msisitizo ni muhimu mkuu, sisi walimu tunaamini mwalimu hata uwe mzuri vipi darasani kama haukazii maarifa baada ya kipindi wanafunzi wako wataambulia patupu. SHIBUDA yuko sahihi kabisa.
Lazima Umpongeze Interahamwe Mwenzio Shibuda Mpenda Posho
msisitizo ni muhimu mkuu, sisi walimu tunaamini mwalimu hata uwe mzuri vipi darasani kama haukazii maarifa baada ya kipindi wanafunzi wako wataambulia patupu. SHIBUDA yuko sahihi kabisa.
watu wa ajabu sana chadema, hivi kwa nini hawataki kukubali kuwa mbowe na slaa ndiyo tatizo?
Ukiwa CCM kama wewe kweli
kumjadili Tundu Lissu ni headache sababu anasema yale ambayo nyie
hamtaki yasemwe.Sasa nyie CCM ole wenu mtupe katiba mdebwedo?
Shibuda!! Kikwete
aliutangazia umma wa Tz kuwa ni mara mia Dr Slaa achaguliwe kuwa Rais
kuliko Lissu achaguliwe kuingia bungeni. Hivi ni jinsi Kikwete
anavyomuogopa Mh Lissu. Ccm yote, Shibuda inclusive wanamuogopa na
kumgwaya Lissu, kwa hiyo hazishangazi kauli kama hizi
ni kweli,mbowe na slaa ni tatizo na mwiba mkali kwa maccm
Kabla ya uchaguzi wa viongozi wakuu ndani ya CHADEMA tutaendelea kusikia mengi hasa ikichukuliwa kuwa tarehe ya Uchaguzi imebadilishwa mara tatu.
Haya ndiyo matokeo ya baadhi ya viongozi ndani ya chama kujijenga katika misingi ya kilaghai.
Kila uchaguzi wa ndani ukikaribia, lazima kuna baadhi ya viongozi watapata misukosuko ndani ya CHADEMA na hata kufukuzwa uongozi na uanachama.
Tutaona na kusikia mengi!
Shibuda mbona anarudia yale yale??
kama ana hoaja za maana aziweke hapa sio story zile zile za kila siku.
Mchawi akiwa anakata roho huropoka hovyo yale yote yaliyomjaa.
Halafu anadai eti kaachia ngazi Mpaka 2015,njaa ndo zinamsumbua huyu mzee.
Afanye kama alichofanya Mpendazoea tumsifu
bila chadema angekuwa mbunge???ccm si walikuwa washamtosa huyu domo kaya...kwani chadema alifuata helikopta?????
shibuta anaipendan ccm kwa roho moja huku upinzani alikuja tu kwa kuwa ccm ilimtosa na kumjali milioner kisena....bye bye shibuda rudi where you belongs to.
huku hakuna rushwa au kubebana
Majira...
Naomba kujuzwa majira nikitu gani? Au majira ya kiangazi masika kipupwe au majira ya usiku?
Majira...
Hata akina Zitto na Kafulila walitofautiana na cdm lakini lipofikia wakati wa maslahi mapana ya kitaifa 'wamechanganya na zao' kama JK alivyowaasa wajumbe wa BMK na historia tayari inawaweka kwenye mkondo sahihi.
Sasa huyu mheshimiwa anatumia falsafa gani kufanya anayoyafanya!?