Kuna kila dalili kuwa yule chawa namba moja wa Mzee Freeman Mbowe atajiunga na chama cha ACT kufuatia CDM kususa uchaguzi wa mwaka 2025.
Ndugu yangu ninakuomba tu usdhubutu kuja huko kwetu Vunjo kwa maana tunaridhika na kazi nzuri ya Mzee wetu Dr Kimei.
Ndugu yangu ninakuomba tu usdhubutu kuja huko kwetu Vunjo kwa maana tunaridhika na kazi nzuri ya Mzee wetu Dr Kimei.