Tetesi: John Mrema kutimkia ACT Wazalendo

Tetesi: John Mrema kutimkia ACT Wazalendo

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
7,235
Reaction score
4,342
Kuna kila dalili kuwa yule chawa namba moja wa Mzee Freeman Mbowe atajiunga na chama cha ACT kufuatia CDM kususa uchaguzi wa mwaka 2025.

Ndugu yangu ninakuomba tu usdhubutu kuja huko kwetu Vunjo kwa maana tunaridhika na kazi nzuri ya Mzee wetu Dr Kimei.
 
Kimei anaweza "kuondolewa" Kimkakati katika uchaguzi
 
Afadhali atimkie huko huenda akapata jimbo la kugombea, abebe na genge lake la G55 na aongeze covid19
 
Back
Top Bottom