Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,889
- 8,486
John Mongela ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, mkoa ambao umejaa rushwa kuanzia juu mpaka chini.
Mkoa wa Arusha kila kukicha zinaibuliwa tuhuma za rushwa na ufisadi kiasi cha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuchukua hatua ya kumsimamisha kazi bwana Pima aliyekuwa mkurugenzi wa jiji hilo pamoja na wafanyakazi wengine.
Licha ya mbunge wa Arusha mjini Bwana Mrisho Gambo na Waziri Mkuu kulalamika waziwazi lakini Rais Samia hachukui hatua yoyote kwa mkuu wa mkoa huyu, lakini Rais Samia ameenda kumtumbua mkuu wa mkoa wa Mara kisa tu mbunge Waitara amelalamikia zoezi la kuweka vigingi kwenye mpaka wa Serengeti ambalo ni agizo la serikali kupitia GN namba 8.
Mkoa wa Arusha kila kukicha zinaibuliwa tuhuma za rushwa na ufisadi kiasi cha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuchukua hatua ya kumsimamisha kazi bwana Pima aliyekuwa mkurugenzi wa jiji hilo pamoja na wafanyakazi wengine.
Licha ya mbunge wa Arusha mjini Bwana Mrisho Gambo na Waziri Mkuu kulalamika waziwazi lakini Rais Samia hachukui hatua yoyote kwa mkuu wa mkoa huyu, lakini Rais Samia ameenda kumtumbua mkuu wa mkoa wa Mara kisa tu mbunge Waitara amelalamikia zoezi la kuweka vigingi kwenye mpaka wa Serengeti ambalo ni agizo la serikali kupitia GN namba 8.