mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,410
- 4,988
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema wao kama chama hawajaridhishwa na maamuzi ya Mahakama Kuu kuhusu mashahidi wa siri dhidi ya kesi ya Tundu Lissu.
Kuhusu maamuzi, soma Mahakama Kuu yapigilia msumari uamuzi kufichwa kwa mashahidi wa Jamhuri katika kesi ya Tundu Lissu
Amesema kuwa wataangalia namna ya kushauriana na Tundu Lissu waangalie namna wanavyoweza kukatia rufaa maamuzi hayo.
Kuhusu maamuzi, soma Mahakama Kuu yapigilia msumari uamuzi kufichwa kwa mashahidi wa Jamhuri katika kesi ya Tundu Lissu
Amesema kuwa wataangalia namna ya kushauriana na Tundu Lissu waangalie namna wanavyoweza kukatia rufaa maamuzi hayo.