Nimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika
Debe tupu.......?Nimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika
Unazipigaje ukiziona barabarani.au bado unausingizi
Nimekuelewa kwa uzuri mno Mkuu.Tundu Lissu ndio mtetezi wa kweli wa wanyonge Tanzania
sio mtu unasema unatetea wanyonge huku mambo unayofanya ni tofauti na kauli zako
Kutafuta kiki tu,Mbona Salum Mwalimu alikaa wiki mbili na bado wapo wanachama kama 20 ndani huko Geita mbona hamjawatembelea?Nimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika
Nimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika
Amina! Tundu Lissu ni km Paulo na Sila Gerezani. Mungu atatutendea haki watz kupitia huyu Ndugu yetu, abarikiweNimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika
Kuna tofauti kati ya "Shouting" na "Talking"
Tundu Lissu ndio mtetezi wa kweli wa wanyonge Tanzania
sio mtu unasema unatetea wanyonge huku mambo unayofanya ni tofauti na kauli zako
Na yupo vizuri mpaka leo hajapungukiwa na lolote.Shared delusion...HATA LEMA ALIWAHI KUSEMA HIVI!
Si yupo sawa, anachotaka tupige kelele kwa lipi?Nimemtembelea Lissu asubuhi yuko salama na ana amani. Ujumbe wake mkuu kwetu ni TUSINYAMAZE!!!
Mbunge WA Jimbo LA Kibamba John Mnyika