COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,622
- 3,696
AMESEMA HIVII ....NAMNUKUU"
Hivi wewe Mnyika unajiona ni bora sana? Wewe umesoma Burundi?
View attachment 277139
Wewe usomi wako umeisaidiaje taifa? Acha kupoint fingures. Tuanze na weweUkiwa mkweli kwa nafsi yako utampongeza Mnyika,tupende UKWELI...Tunawasomi wengi ndani ya serikali hususani chama Tawala wamelisaidiaje Taifa lao?
Kama faida yao kwa TAIFA ni zero basi sioni sababu ya kumlumu Mnyika.
AMESEMA HIVII ....NAMNUKUU"
Hivi wewe Mnyika unajiona ni bora sana? Wewe umesoma Burundi?
View attachment 277139
labda anavyoona kundi kubwa la sheeples linavyoburuzwa kibubusa ,hawafanani na usomi wao , mafuriko ya wajinga wasiofikiria mara mbili mbili ,kama kikombe cha babu kilivyowasomba ,haikujalisha wasomi na wasio wasomi.
Hiyo Form Six yake kasomea Kenya?
Hata kama amesoma kwa QT,bado kasomea Tz.Wana mashauzi ya kijinga hao jamaa!
CCM IMEUA ELIMU YETU KABISA,haifai,haifai,haifai,Muda ukifika utamuelewa tu MnyikaHata kama amesoma kwa QT,bado kasomea Tz.Wana mashauzi ya kijinga hao jamaa!
Wewe usomi wako umeisaidiaje taifa? Acha kupoint fingures. Tuanze na wewe
Mkuu nisaidie , Msomi ni nani?na jamii inamtofautishaje na asiye msomi?Kwahiyo wewe unadhani ni sahihi kudharau wasomi wa Tanzania? Yeye ujinga aliutolea nchi gani?
acha kusujudu usomi wewe kuna wasomi wazuri kama akina chenge tibaijuka nawengine kibao ndio wameshiriki kuangamiza hili taifa bora tuongozwe na mtu ambae hajaenda shule lakini ana karama ya uongozi na sio elimu ya kukariri.
Kusoma TZ si kigezo cha elimu bora.Ni mtoto gani wa viongozi wako wa ccm na serikali yake wanasoma hapa bongo?why hawasomi bongo?Acha ujinga watu tuna hasiraWewe umesoma wapi?