rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
naomba kujua kwa nini huyo mzee tunaye muheshimu sana ameamua kususia kabisa jimbo lake aliloongoza kwa miaka mingi'ina maana kushindwa kura za maoni ndio sababu ya kulichukia jimbo?hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi hawa wa ccm wanavyopenda madaraka'hata kama wananchi walimnyima kura je ndio sababu ya kususa hata kutembelea?