Kiuhalisia ni kama wewe ungetukanwa na mtoto wa miaka mitatu, unaishia kumsamehe tu maana hajui alitendalo yawezekana matusi atakayo kutukana anacopy kwa mzazi wake na kupaste kwako bila kujitambua
OS ya Komba ni pirated, haina security features zozote, kila kinachoingia kinachukuliwa kuwa ni powuwa,
Kama vyeti vyake vya shule vikiwa re-graded leo hii, Komba ni Div V, alipaswa kuwa amekaa kibarazani anajipaka wanja na ina tu, sanasana akiimba taarab, mhurumieni hajitambui, wenyekulaumiwa ni wapigakura wake. hawakupima utashi wake
Warioba anaheshimika kimataifa, hivi tumsikilize Konba kwa mchango upi alioutoa kwa nchi hii, kama ni uimbaji, basi nadhani hajatokea mwimbaji aliyemzidi Hayati Marijan Rajabu
Komba ajitokeze hapa atwambie ni lipi analojivunia kuwafanyia watanzania au walimwengu akijilinganisha na Warioba au Marijan Rajab?