Plot281
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 875
- 454
So what?????Nimekaa Arusha nimesali na Lema ninamfahamu Lema vilinge vyake vyote navijua A to Z na washikaji zake wote wa Arusha.
Mpaka tukio la kulipuka bomu Bomu uwanjani Lema na Mbowe waliposhuka tu Jukwani kukusanya pesa ktk mabox ya maji madogo ya Kilimanjaro iwasaidie walinda kura siku ya Uchaguzi wa Madiwani Arusha mjini nilikuwepo tena nyuma ya jukwaa kuu.