John Heche: Mwalimu anayestahili kuwa nje ya Ualimu

John Heche: Mwalimu anayestahili kuwa nje ya Ualimu

Katibu Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2025
Posts
459
Reaction score
100
Asalam aleykum, kwa Waislam wenzangu.

Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, hii ni sababu tangu Bwana Wegesa, au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu, kwa taaluma, aliungaunga kutoka Bunda TC na kujiunga Chuo Kikuu SAUT, akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira, akapangwa kituoni. Yeye akafika kwa Mkurugenzi na kutaka apangwe mjini, kisa awe anaangalia mechi za Arsenal. Kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu, sababu angetuharibia watoto wetu kwa ya ubishi wa hovyo.

Heche, mdogo wangu wewe, acha ujinga na utulie. Kupayuka hovyo kuna majuto mbele.
 
Asalam aleykum, kwa Waislam wenzangu.

Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, hii ni sababu tangu Bwana Wegesa, au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu, kwa taaluma, aliungaunga kutoka Bunda TC na kujiunga Chuo Kikuu SAUT, akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira, akapangwa kituoni. Yeye akafika kwa Mkurugenzi na kutaka apangwe mjini, kisa awe anaangalia mechi za Arsenal. Kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu, sababu angetuharibia watoto wetu kwa uvutaji bangi na ubishi wa hovyo.

Heche, mdogo wangu wewe, acha ujinga na utulie. Kupayuka hovyo kuna majuto mbele.
Asalam aleykum,kwa waislam wenzangu.
Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa,hii ni sababu tangu bwana Wegesa au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu kwa taaluma aliungaunga kutoka Bunda Tc na kujiunga chuo kikuu Saut akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira akapangwa kituoni,yeye akafika kwa mkurugenzi na kutaka apangwe mjini kisa awe anaangalia mechi za arsenal,kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu sababu angetuharibia watoto wetu kwa uvutaji bangi na ubishi wa hovyo.

Heche mdogo wangu wewe,acha ujinga na utulie kupayuka hovyo kuna majuto mbele.

..achana na Heche, hata Maza aliungaunga leo tunamuita Daktari.
 
Asalam aleykum,kwa waislam wenzangu.
Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa,hii ni sababu tangu bwana Wegesa au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu kwa taaluma aliungaunga kutoka Bunda Tc na kujiunga chuo kikuu Saut akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira akapangwa kituoni,yeye akafika kwa mkurugenzi na kutaka apangwe mjini kisa awe anaangalia mechi za arsenal,kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu sababu angetuharibia watoto wetu kwa uvutaji bangi na ubishi wa hovyo.

Heche mdogo wangu wewe,acha ujinga na utulie kupayuka hovyo kuna majuto mbele.
Kuunga unga ndo nini ?
 
Asalam aleykum, kwa Waislam wenzangu.

Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, hii ni sababu tangu Bwana Wegesa, au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu, kwa taaluma, aliungaunga kutoka Bunda TC na kujiunga Chuo Kikuu SAUT, akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira, akapangwa kituoni. Yeye akafika kwa Mkurugenzi na kutaka apangwe mjini, kisa awe anaangalia mechi za Arsenal. Kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu, sababu angetuharibia watoto wetu kwa uvutaji bangi na ubishi wa hovyo.

Heche, mdogo wangu wewe, acha ujinga na utulie. Kupayuka hovyo kuna majuto mbele.
Kumtukana mtu kwa historia yake ya kazi au mapenzi yake ya mpira si hoja ya msingi. Tujadili hoja na si watu binafsi. Heche ana haki ya kuwa na mtazamo wa kisiasa kama wengine.
 
Asalam aleykum, kwa Waislam wenzangu.

Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, hii ni sababu tangu Bwana Wegesa, au maarufu kwenye siasa zake uchwara akiitwa Heche.

Mtu huyu, kwa taaluma, aliungaunga kutoka Bunda TC na kujiunga Chuo Kikuu SAUT, akapata shahada ya ualimu.

Alibahatika kupata ajira, akapangwa kituoni. Yeye akafika kwa Mkurugenzi na kutaka apangwe mjini, kisa awe anaangalia mechi za Arsenal. Kuanzia hapo nilimshangaa mtu yule kwa uwezo mdogo.

Acha aendelee kumtumikia Lissu na wenzake kuliko kuwa mwalimu, sababu angetuharibia watoto wetu kwa uvutaji bangi na ubishi wa hovyo.

Heche, mdogo wangu wewe, acha ujinga na utulie. Kupayuka hovyo kuna majuto mbele.
Samia aliambulia Div IV O Level leo hii mnampigia magoti mbona husemi.
 
Kumtukana mtu kwa historia yake ya kazi au mapenzi yake ya mpira si hoja ya msingi. Tujadili hoja na si watu binafsi. Heche ana haki ya kuwa na mtazamo wa kisiasa kama wengine.
Uko sawa,lakini Asiwe janjajanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom