John Heche Kugombea Ubunge Tarime Vijijini kupitia Chadema!!

John Heche Kugombea Ubunge Tarime Vijijini kupitia Chadema!!

HabariChademamara

Senior Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
113
Reaction score
91
Kwa habari na tarifaa rasimi kutoka moja kwa moja kwa kamanda John Heche aliyekuwa mwenyekiti wa vijana. taifa Chadema(Bavicha)ametangaza rasimi nia ya kugombea ubunge jimbo la tarime vijijini jimbo jipya.mwanzoni John Heche alikuwa ametangaza nia tarime mjini.Ila kwa busara pamoja na mpenzi mema ya Chadema ameamuwa kugombea vijijini ili makamanda wengine waweze kuendelea na harakati mjini.tarime vijijini kwa jumla ina kata 28.wakazi wa tarime amefurahia sana kwa mamuzi mazuri aliyofanya kamanda John na wameahidi kufanya naye Kazi kipindi kampeni zitakazo aanza mwezi ujao.
 
Heche, hawezi kushinda hilo jimbo lina fitna nyingi sana.
 
Hongera John Heche! Umepita


NINGEPENDA KUJUA JOHN MAGUFULI ATAJITAMBULISHA WAPI BAADA YA CHATO?

MWISHO WA MAGUFULI NI CHATO!
 
Hongera zake.
Amefanya uamuzi wa busara
 
Mimi Niko hapa Tarime mjini, kama Chadema wanataka kushinda asubuhi tu wamlete Esther Matiko. Anakubarika sana Heche aende kijijini.
 
Mimi Niko hapa Tarime mjini, kama Chadema wanataka kushinda asubuhi tu wamlete Esther Matiko. Anakubarika sana Heche aende kijijini.
Ina maana Wakira wamebadilika kiasi hicho? Huyo Esther Matiko amekulia Tarime na kuzitekeleza mila za kikurya zote au amekulia mijini na hajui mila na desturi za huko?
 
mkuu Kimbunga kama amezaliwa mjini atakuwa hajapitia mafunzo ya ujasiri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom