Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,684
- 26,169
Sasa unalalamika nini kama hiyo ndio kawaida yake?Kwani ni mara yake ya kwanza kuitwa polisi
Ova
Sasa unalalamika nini kama hiyo ndio kawaida yake?Kwani ni mara yake ya kwanza kuitwa polisi
Ova
Sawaa.Furaha ya kichawi.
Mkutano alifanya tarehe 08 Aprili 2017?
Toka tarehe 8 April 2017 mpaka leo polisi walikuwa hawajui Heche yuko wapi? hili jeshi ni hatari kuliko kitu chochote.
Halafu baada ya hapo anakufa?Wewe endelea kupayuka hapa lakini huyo Heche kesho anaripoti polisi asubuhi na mapema bila kubisha.
Unafikiri ataishi milele?Halafu baada ya hapo anakufa?...
Aende atajua huko huko.Apambane na hali yake mwenyeweKwa sheria ipi?
Kutakuwa na sauti juu yao imehoji kulikoni Heche hajahojiwa, na au kuwekwa sero kabisa? Mkumbuke Heche akiwa bungeni wiki iliyopita alishusha nondo akihoji maamuzi ya kujenga uwanja wa ndege Chato wa kiwango hicho wakati makao makuu ya nchi hakuna uwanja wa maana. Na alihoji kikao kipi cha bunge kilichoidhinisha fedha kwa ajili hiyo!Toka tarehe 8 April 2017 mpaka leo polisi walikuwa hawajui Heche yuko wapi? hili jeshi ni hatari kuliko kitu chochote.
HALAFU BEI YA BIDHAA ITASHUKA NA VIWANDA VITAJENGWA KWA KASIWacha aende akanyooshwe.
Ukiacha kupiga kelele.HALAFU BEI YA BIDHAA ITASHUKA NA VIWANDA VITAJENGWA KWA KASI
Ukiacha kupiga kelele.