John Cheyo: UKAWA kuweni wakweli

John Cheyo: UKAWA kuweni wakweli

ndo maana mimi nasema hawa UKAWA hawa..... mhhhhhhhhhh
 
Mbona aliwaongezea cku 60?anashindwa nin kuzikatisha?Hapa asiangaliwe ukawa,2angaliwe wananchi 2navyobebeshwa mzigo usio na msingi!
Msi2fanye wajinga,hao wanaomshangilia cheyo wanashangilia ulaji!2nataka bmk lisitishwe now!
 
Kutaka kusafiri na mtu asiyetaka safari ni ngumu mno. Ataleta kila sababu ya kipuuzi ili kukwamisha safari hiyo. Ndicho wanachokifanya UKAWA.
 
Cheyo ni miongoni mwa wajumbe wa BMK wenye njaa kali yupo bungeni ulitegemea aseme bunge lisitishwe akati yupo ndani anapiga pesa
 
Back
Top Bottom