Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,731
- 96,335
Nadhani ukifanyika uhakiki wa wanachama hawezi kuzidi hata 10 nchi nzimaKuna vyama vilianzishwa kama biashara ya kupata pesa za ruzuku n.k.
Hata kauli mbiu zao zinajifafanua mfano huyu MAPESA, kuna mwingine UBWABWA.
SASA lazima apige yowe akiona posho za vikao zinampita.
Wapi vyama vingine hajashirikishwa, alie juu ataonekana tu, au alitaka viwe vinatajwatajwa kama Chadema. Dawa ni kuwa na wanachama wengi, hao ndio watakaokisemea chama.