John Cheyo kumfagilia JK ni kujikomba

amba.nkya

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
446
131
Katika hali isiyo ya kawaida mpinzani mkongwe, John Momose Cheyo ametamka rasmi kuwa rais JK ametimiza ahadi zake kwa wapiga kura na anawaonea huruma watakaojitokeza kuwania kinyang'ilo cha urais, 2010. Hii anamaanisha kuwa maisha bora kwa watanzania wote yamepatikana. Binafsi sikubaliani na kauli za Cheyo maana bado ahadi za JK kwa wananchi wake hazijatekelezwa kama alivyoahidi. Naawachia wana JF hapa jamvini kwa hoja zenu makini....mnasemaje?
 
Tanzania hatuna opposition!wote ni pesa tu.
Tuna udikteta wa chama tawala.na tutaendelea na mediocre ya hawa wabunge wetu ,
wanakula taxpayers money for nothing.kamati ya bunge ya Cheyo is a joke
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu wote hawa wanataka ccm isiwabane kwenye majimbo yao kipindi cha uchaguzi ndo maaana wanaifagilia ccm wakati last year tu walikuwa wanaikandia.njaaaa jamani njaaaaaa shem on them wanatuchanganya.......
 
Katika hali isiyo ya kawaida mpinzani mkongwe, John Momose Cheyo ametamka rasmi kuwa rais JK ametimiza ahadi zake kwa wapiga kura na anawaonea huruma watakaojitokeza kuwania kinyang'ilo cha urais, 2010. Hii anamaanisha kuwa maisha bora kwa watanzania wote yamepatikana. Binafsi sikubaliani na kauli za Cheyo maana bado ahadi za JK kwa wananchi wake hazijatekelezwa kama alivyoahidi. Naawachia wana JF hapa jamvini kwa hoja zenu makini....mnasemaje?
Hebu ainisha ni zipi hajatekeleza? Ni rahisi kutoa statement ya moja kwa moja, lakini tukitaka kuwa analytical tuorodheshe alichoahidi JK, alichotekeleza, na ambayo bado hakijatekelezwa. Ni kwa analysis ndiyo unaweza kuchallenge JK. Kwasababu JK atakuja na list ya vitu kibao ambayo serikali imefanya, lakini yale yote ambayo hawajafanya hazitatajwa kabisa. Nadhani kuna waandishi wa habari waliokuwa wanaandika kila ahadi ya JK kwa ajili ya kufuatilia, lakini baada ya uchaguzi JK akawapa vyeo ili wasije wakawakumbusha wananchi hizo ahadi, wengine inawezekana sasa hivi wanamsaidia huko state house. Naomba kwa wale ambao wanakumbukumbu za ahadi alizotoa waziweke hapa mtandaoni ili tuchangie.
 
Hebu ainisha ni zipi hajatekeleza? Ni rahisi kutoa statement ya moja kwa moja, lakini tukitaka kuwa analytical tuorodheshe alichoahidi JK, alichotekeleza, na ambayo bado hakijatekelezwa. Ni kwa analysis ndiyo unaweza kuchallenge JK. Kwasababu JK atakuja na list ya vitu kibao ambayo serikali imefanya, lakini yale yote ambayo hawajafanya hazitatajwa kabisa. Nadhani kuna waandishi wa habari waliokuwa wanaandika kila ahadi ya JK kwa ajili ya kufuatilia, lakini baada ya uchaguzi JK akawapa vyeo ili wasije wakawakumbusha wananchi hizo ahadi, wengine inawezekana sasa hivi wanamsaidia huko state house. Naomba kwa wale ambao wanakumbukumbu za ahadi alizotoa waziweke hapa mtandaoni ili tuchangie.
Mabilioni ya JK hatuoni yamefanya nini?
Hali bora kwa kila mdanganyika bado ni kitendawili,..n.k,n.k
 
Katika hali isiyo ya kawaida mpinzani mkongwe, John Momose Cheyo ametamka rasmi kuwa rais JK ametimiza ahadi zake kwa wapiga kura na anawaonea huruma watakaojitokeza kuwania kinyang'ilo cha urais, 2010. Hii anamaanisha kuwa maisha bora kwa watanzania wote yamepatikana. Binafsi sikubaliani na kauli za Cheyo maana bado ahadi za JK kwa wananchi wake hazijatekelezwa kama alivyoahidi. Naawachia wana JF hapa jamvini kwa hoja zenu makini....mnasemaje?

Unamshangaa Cheyo,mbona ndio kawaida yake?Cheyo sio mpinzani wa kweli,w e fuatilia hata nyendo zake Bungeni utagundua kwamba jamaa siyo.
 
njaa mbaya inaweza ikakufanya uonekane ni mpumbavu kuliko watu wote pasipo mwenyewe kujali ilimradi tumbo lako lipate chochote!

watanzania tumsamehe john cheyo ni njaa jamani!
 
Mzee Cheyo anazeeka vibaya. Tunataka Maisha bora aliyotuahidi JK yako wapi???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Hebu ainisha ni zipi hajatekeleza? Ni rahisi kutoa statement ya moja kwa moja, lakini tukitaka kuwa analytical tuorodheshe alichoahidi JK, alichotekeleza, na ambayo bado hakijatekelezwa. Ni kwa analysis ndiyo unaweza kuchallenge JK. Kwasababu JK atakuja na list ya vitu kibao ambayo serikali imefanya, lakini yale yote ambayo hawajafanya hazitatajwa kabisa. Nadhani kuna waandishi wa habari waliokuwa wanaandika kila ahadi ya JK kwa ajili ya kufuatilia, lakini baada ya uchaguzi JK akawapa vyeo ili wasije wakawakumbusha wananchi hizo ahadi, wengine inawezekana sasa hivi wanamsaidia huko state house. Naomba kwa wale ambao wanakumbukumbu za ahadi alizotoa waziweke hapa mtandaoni ili tuchangie.

Wasiliana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi atakupatia. Aliahidi ofisi yake watachapa kitabu ambacho kitaelezea kwa undani kila ahadi ya Rais aliyoitoa.
 
Wote ni Makanjanja ya kisiasa na pia hii ni mbaya sana hata siku zinapokwenda ndio tunazidi kuwajua watu vizuri
 
Katika hali isiyo ya kawaida mpinzani mkongwe, John Momose Cheyo ametamka rasmi kuwa rais JK ametimiza ahadi zake kwa wapiga kura na anawaonea huruma watakaojitokeza kuwania kinyang'ilo cha urais, 2010. Hii anamaanisha kuwa maisha bora kwa watanzania wote yamepatikana. Binafsi sikubaliani na kauli za Cheyo maana bado ahadi za JK kwa wananchi wake hazijatekelezwa kama alivyoahidi. Naawachia wana JF hapa jamvini kwa hoja zenu makini....mnasemaje?

Naanza kuamini kuwa huu ni mkakati wa CCM kumsafisha JK, kwa hiyo wenyeviti wa vyama pinzani wameambiwa wasaidie kumsafisha kuelekea uchaguzi Mkuu
1. Agustine Mrema
2. Cheyo
3. tusibilie list itaongezeka

.......Upinzani wa kweli tutapata hadi hapo CCM itakapogawanyika makundi mawili -----kwa sasa upinzani ni utata mtupu.
 
CCM wanaogopa tu kivuli chao wenyewe na wameamua kuyatumia haya MAFUVU YA KISIASA (political fossils) kujaribu kuficha mapambano ya wenyewe kwa wenyewe yanayoendelea;

Cheyo na Mrema wamebeba Bango la CCM Bara

Seif Shariff Hamad amebeba Bango la CCM Zanzibar (au la Karume?)

You will see more fossils rise as internal squabling continues.
 
jamani hivi hamjuagi kuwa Cheyo ni best na mtani wa JK?safari zake zote za kujitambulisha kama Pres wa Tanzania alikuwa anaenda nae.....wakikutana wanataniana sana sanaa.....hakuna upinzaji ni maslahi tu...umeshawahi sikia Cheyo anampiga kijembe JK hata kama amechemsha???never...ni ma best ever.......hata akikosa ubunge atampa wa kumteua......tena ukizingatia Mapesa ameanza kuchoka kibiashara siku za karibuni........
 
wapinzani wa bongo mi wala hata siwaelewagi

Kwanza alikuwa Mrema sasa Cheyo wote wanamfagilia Kikwete wa CCM badala ya kufagilia vyama vyao, huko CHADEMA ikiwa imebaki miezi 9 kabla ya uchaguzi mkuu hali si shwari wanafukuzana na kuadhiriana hadharani. Vyama vya UPINZANI HOVYO! Huu ulikuwa ni mwaka wao wa kufanya vizuri kufuatia utendaji finyu wa Kikwete na hali ilivyo ndani ya CCM lakini kwa mara nyingine tena they drop the ball! aaaarrrrrgggghhhhh! Si bora tu wamsimike Kikwete madarakani na Wabunge wote wa CCM ili kufuta uchaguzi ujao na kusave mabilioni ya shilingi.
 
Kwanza alikuwa Mrema sasa Cheyo wote wanamfagilia Kikwete wa CCM badala ya kufagilia vyama vyao, huko CHADEMA ikiwa imebaki miezi 9 kabla ya uchaguzi mkuu hali si shwari wanafukuzana na kuadhiriana hadharani. Vyama vya UPINZANI HOVYO! Huu ulikuwa ni mwaka wao wa kufanya vizuri kufuatia utendaji finyu wa Kikwete na hali ilivyo ndani ya CCM lakini kwa mara nyingine tena they drop the ball! aaaarrrrrgggghhhhh! Si bora tu wamsimike Kikwete madarakani na Wabunge wote wa CCM ili kufuta uchaguzi ujao na kusave mabilioni ya shilingi.

Inawezekana kuwa ndio uamuzi mgumu ambao labda chadema wanaufanya ambao haufanywi na vyama vingine. Kwani mtu akienda kinyume na chama, mnampaka mafuta na kumsifia?

Angesema hivi katibu mkuu/mwenyekiti wa chadema ungesema je?

Ofcourse akisema Zitto, inasemekana ni msimamo wake binafsi, au siyo?
 
Back
Top Bottom