John Cheyo kumfagilia JK ni kujikomba

John Cheyo kumfagilia JK ni kujikomba

Alianza Chipaka,akaja Mtikila akakataa kumfagilia JK akatoa siri kuwa wanaitwa na kupewa mshiko baadaye tukamsikia Mrema na sasa Cheyo najiuliza ni kwa nini hawa viongozi wa vyama pinzani choka mbaya ghafla bin vuu wameanza kuimba wimbo wa kumsifu JK na kwanini wasimsifu siku za nyuma,hii chai ya ikulu inawafedhehesha kwa kiongozi anayeongozwa na njaa na si busara ni hatari kwa nchi yetu ,viongozi wa sampuli hii ya kurubiniwa na wale wanaorubuni hawafai kutuongoza,kiongozi haifai aongoze kwa ghiriba.Akina Chipaka,Mrema,Cheyo wakati wao umeshapita
 
Alianza Chipaka,akaja Mtikila akakataa kumfagilia JK akatoa siri kuwa wanaitwa na kupewa mshiko baadaye tukamsikia Mrema na sasa Cheyo najiuliza ni kwa nini hawa viongozi wa vyama pinzani choka mbaya ghafla bin vuu wameanza kuimba wimbo wa kumsifu JK na kwanini wasimsifu siku za nyuma,hii chai ya ikulu inawafedhehesha kwa kiongozi anayeongozwa na njaa na si busara ni hatari kwa nchi yetu ,viongozi wa sampuli hii ya kurubiniwa na wale wanaorubuni hawafai kutuongoza,kiongozi haifai aongoze kwa ghiriba.Akina Chipaka,Mrema,Cheyo wakati wao umeshapita

Cheyo amejichokea na hana pa kushika na umri umempa kisogo.....mnataka akale polisi???Ndo maana inabidi apige debe asije akazeeka hohehahe>...ndio hio.
 
JKShinyanga.jpg

Bariadi East MP John Cheyo of the opposition UDP (R) leads Shinyanga residents in applauding President Jakaya Kikwete, who had just inaugurated Simiyu Bridge yesterday. The structure links Shinyanga
 
Kwa mtu anaeijua Bariadi ya mwaka 2000 akalinganisha na Bariadi ya leo hatakuwa na sababu ya maana ya kumlaumu Cheyo. Japo ni kweli hawezi kuwa ametimiza ahadi zote, lakini ametekeleza ahadi nyingi kwa upande wa Bariadi. Kabla hatujamlaumu Cheyo tungemhoji sababu ya kusema hivyo. Ni vizuri mngeitoa spichi yake nzima katika mtandao tukaichambua kwa kina badala ya kutupa namna muandishi alivyomripoti kwa mtizamo wake.

Wananchi tusiwe wepesi wa kutoa majibu ya kejeri tunapojadiliana kisomi. Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake anayoamini kuwa ni sahihi. Kusema anajikomba au anazeheka vibaya sio njia ya kisomi ya kuvunja hoja. Hoja ivunjwe kwa hoja sio direct attach.
 
Hii miezi ya karibuni kuanzia August, JF kweli imevamiwa na bado. Karibu George Jinasa lakini si heri ungebisha hodi kwanza ?
 
Back
Top Bottom