njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hapa sasa utaona tofauti ya meneja mwenye akili na meneja muhuni ,yaani zimbwe ilitakiwa makelele yote yale hadi kutafuta back up ya shaffih dauda kuitukana simba ili mchezaji wako apewe mkataba mpya?
Mbona meneja wa John boko hajapitia mhaho wote huo?Once a muhuni always a muhuni jitu limekulia maisha ya usela mavi ya manzese halitabadilika yaani zimbwe huyo jamaa unadhani ndo atakupeleka teams za south africa? thubutuu sidhani hata kama anayo e mail adress yule
Mbona meneja wa John boko hajapitia mhaho wote huo?Once a muhuni always a muhuni jitu limekulia maisha ya usela mavi ya manzese halitabadilika yaani zimbwe huyo jamaa unadhani ndo atakupeleka teams za south africa? thubutuu sidhani hata kama anayo e mail adress yule