njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Mojawapo ya madai ya yule meneja muhuni Herry Mzozo ni kwamba Zimbwe jr hajawahi kualikwa ofisini kwa Mo dewji kupiga naye picha
Najua simba mlikuwa kwenye utaratibu wa kumuongezea mkataba ila kwa kilichotokea inaonekana kwamba team ime bow kwa pressure ya meneja muhuni na shaffih dauda aliyeenda mbali na kuikashifu simba kwamba imekuwa ikifanya press conferences hovyohovyo ina CEO aliyepatikana kimagumashi,anayejiremba tu na lip sticks aisyesoma e mail wala barua kazi kujipiga picha kutafuta kiki.
MO DEWJI HAO WAHUNI WASHAPATA HELA YAO HATA KANJANJA SHAFIH DAUDA LITAKUWA LISHARUSHIWA HELA YAKE KWA MPESA SASA HIVI.... ILA CHONDECHONDE USIMUITE HUYO KIJANA KUPIGA NAYE PICHA OFISINI UKIFANYA HIVYO JUA ITAKUWA NDIYO UTARATIBU MPYA WA WACHEZAJI KWENDA KUOKOTA WAHUNI MTAANI HUKO WAWAPE PRESSURE MAREDIONI NA MAGAZETINI WAKISHIRIKIANA NA MAKANJANJA
Najua simba mlikuwa kwenye utaratibu wa kumuongezea mkataba ila kwa kilichotokea inaonekana kwamba team ime bow kwa pressure ya meneja muhuni na shaffih dauda aliyeenda mbali na kuikashifu simba kwamba imekuwa ikifanya press conferences hovyohovyo ina CEO aliyepatikana kimagumashi,anayejiremba tu na lip sticks aisyesoma e mail wala barua kazi kujipiga picha kutafuta kiki.
MO DEWJI HAO WAHUNI WASHAPATA HELA YAO HATA KANJANJA SHAFIH DAUDA LITAKUWA LISHARUSHIWA HELA YAKE KWA MPESA SASA HIVI.... ILA CHONDECHONDE USIMUITE HUYO KIJANA KUPIGA NAYE PICHA OFISINI UKIFANYA HIVYO JUA ITAKUWA NDIYO UTARATIBU MPYA WA WACHEZAJI KWENDA KUOKOTA WAHUNI MTAANI HUKO WAWAPE PRESSURE MAREDIONI NA MAGAZETINI WAKISHIRIKIANA NA MAKANJANJA