msindikizaji JF-Expert Member Joined Aug 29, 2010 Posts 1,763 Reaction score 2,891 Feb 24, 2017 #21 mitale na midimu said: mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla Click to expand... huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana
mitale na midimu said: mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla Click to expand... huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana
mitale na midimu JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 10,419 Reaction score 17,761 Feb 24, 2017 #22 msindikizaji said: huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana Click to expand... ushamba ni nini mkuu, maana hata wenyeji wa dsm hapo kila siku wanakimbia mji wanapotelea vikindu na kisarawe sisi wakuja tunachukua nafasi.
msindikizaji said: huyo alisoma mpaka uingereza... ushamba hata ulishamtoka.. sasa Daudi nasikia hata cheti hana Click to expand... ushamba ni nini mkuu, maana hata wenyeji wa dsm hapo kila siku wanakimbia mji wanapotelea vikindu na kisarawe sisi wakuja tunachukua nafasi.
Katambala Member Joined Mar 21, 2011 Posts 41 Reaction score 20 Feb 24, 2017 #23 mitale na midimu said: hapo umenena, sio busara kufanya conclusion kwenye introduction Click to expand... Washafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mende
mitale na midimu said: hapo umenena, sio busara kufanya conclusion kwenye introduction Click to expand... Washafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mende
mitale na midimu JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 10,419 Reaction score 17,761 Feb 24, 2017 #24 Katambala said: Washafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mende Click to expand... umeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianza
Katambala said: Washafeli, mwaka mzima kuhangaika na nani kasema nini ni dalili ya kifo cha mende Click to expand... umeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianza
Katambala Member Joined Mar 21, 2011 Posts 41 Reaction score 20 Feb 24, 2017 #25 mitale na midimu said: umeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianza Click to expand... Mkataba waliingia na lubuva siyo mimi, time will tell kama haya ni majungu au masufuria
mitale na midimu said: umeingia mkataba wa miaka mitano nao, acha wafanye kazi zao majungu mazuri ni 2020 kampeni zikianza Click to expand... Mkataba waliingia na lubuva siyo mimi, time will tell kama haya ni majungu au masufuria
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,303 Feb 24, 2017 #26 BigBro said: Sichangii Click to expand... Umeisha changia ujue!
Shuleless JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 4,972 Reaction score 6,246 Feb 24, 2017 #27 Namkubali sana huyu mzee... Mola amweke mahala pema peponi.
Luushu JF-Expert Member Joined Apr 8, 2012 Posts 890 Reaction score 537 Feb 24, 2017 #28 Wimbo una ujumbe mzuri
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 16,382 Reaction score 13,194 Feb 25, 2017 #29 Acheni dhihaka leo kwao kesho kwako...! Uongozi ni kazi ngumu!
Al-Watan JF-Expert Member Joined Apr 16, 2009 Posts 11,891 Reaction score 14,601 Feb 25, 2017 #30 mitale na midimu said: mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla Click to expand... Alitokea Edinburgh.
mitale na midimu said: mkuu nyerere alitokea wapi hadi kukalisha nchi nzima na afrika kwa ujumla Click to expand... Alitokea Edinburgh.