The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 217
platozoom sungura ngoja nikumbuke ubeti walke mmoja ila pokea kwanza huu wa sikiri
sikiri mimi masikini narudi tena nyumbani
nikiwa huku porini napata shida jamani
sadiki sasa ashiba chakula kingi nyumbani .....................duh nimechemka asiee! sijui ma chemistry yamenipumbaza lol!
mandawa na manenge.haya tukumbuke na hii
Nganenepa ang'atwa na nyoka; Ahadi 10 za mwana TANU; Kiburi si Maungwana, Mwenge kijiji cha Mahurunga (kijana Dadi); Kana kansungu, umwelu (Kalegesye); Bwana matata; Lyamba lya mfipa.
Kwa nini umeishia njiani?..............hebu rekebisha memory kidogo au ulisoma inglish akademi ndio maana umesahau