The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 217
hili jogoo nalikumbuka sana kwa kuwa lilitoa funzo kubwa kwa binadamu wote wanaowatesa wanyama. Ukitaka kujua alitoa funzo gani kamuulize PAZI aliyening'inizwa kichwa chini na miguu juu kama alivyokuwa akiwaning'iniza kuku wenzake na lile jogoo. Tungepata kiongozi mwenye kutoa discipline ya namna hii nadhani tugeheshimiana kwenye matumizi ya raslimali za Taifa letu. Eeeeeh Mola twaomba twaomba utushuhshie katika nchi yetu viongozi wenye kariba ya jogoo lililosema kwa kuwaadhibu wote wasiopenda mnaendeleo ya wananchi wote wa TZ