Joe Trippi ni nani?

Joe Trippi ni nani?

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,958
Nilimsikia January Makamba akilalamika UKAWA wameajiri mtaalamu kutoka nje special kutengeneza machafuko kipindi hiki cha uchaguzi.

Baadae nikaingia kwenye mitandao nikakuta wananchi wakimshambulia mtu anaitwa Joe Trippi kwa kueneza picha za uongo kwenye jumuiya za kimataifa kuwa Tanzania kuna crisis kubwa unaitajika msaada.

Kuna hash tag #stopjoetrippi


Swali huyu jamaa ni nani?
 
...muulize huyo makamba mnaefanana nae akili..
 
acheni uzushi about joe trippi based in his twitter account

Fmr Dean Campaign Mgr. Author of
The Revolution Will Not Be Televised
Tweets important causes. Internet
and Democracy. Social media and
business.
joetrippi.com
 
teh teh ina maana jaman mh huyu anamuhofia huyu joetrip? toka lin huyu akaogopa jaman hahaaa au ndo ashaona anguko linakuja...mhh tutajionea mengiii
 
...........Also in 2011, Trippi provided strategic support for the campaign of Goodluck Jonathan in the Nigerian presidential election.

It is said that, Trippi is currently working with Tanzania's main opposition party CHADEMA, to help Mr.Edward Lowassa rise into office after 2015 general election.

(WikiPedia)
 
  1. Joe Trippi is an American Democratic campaign worker and consultant. Trippi has worked on the presidential campaigns of Ted Kennedy, Walter Mondale, Gary Hart, Dick Gephardt, Jerry Brown and John Edwards. Wikipedia

    Born: June 10, 1956 (age 59), California, United States

    Spouse: Kathleen Lash

    Education: San Jose State University

    Books: The Revolution Will Not Be Televised

    Children: James Ellis Trippi, Christine Marie Trippi, Ted Casey Trippi

    Organizations founded: Change Congress
 
Anafanya kazi Fox news agency aliachia video za vurugu huko Zanzibar uchaguzi uliopita na sasa hivi ameachia report ya kukamatwa kwa vijana wa CHADEMA na polisi.

Kwa vile ni international reporter CCM wanahofia media ya nje isije shtukia image yao.
 
Back
Top Bottom