jobs

jobs

karrote

Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Jamani wanandugu mimi naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni
 
Jamani wanandugu mimi naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni

Sawa ,mimi ninakuombea uitwe kazini mapema pia nawe uniombee hata kwenye usaili niitwe.
Tuombeane kheri
 
Hey calm down... You just need a job which you always dream about? Have you ever applied for it? Do you think you have enough qualifications on that career to meet employer's demand? If you are, good!!
All I can say, you have to work hard and keep praying, we will pray for you also.. Time will come, all of us we will have a sweetest life, and forget all the pains we experienced before...:amen:
 
Oooh Haleeluuyaaa !


"YEREMIA 32:26-27"
Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia,kusema
Tazama ,Mimi ni Bwana Mungu wa wote wenye mwili.
Je! Kuna neno gumu lolote nisiloliweza ?

..........................................................................
Mkuu imani yako itakuponya(kukupa kazi)
nami pia ninakuombea upate sawa na hitaji
lako bila kuchoka.

""Mungu ni MwemA""
 
Oooh Haleeluuyaaa !


"YEREMIA 32:26-27"
Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia,kusema
Tazama ,Mimi ni Bwana Mungu wa wote wenye mwili.
Je! Kuna neno gumu lolote nisiloliweza ?

..........................................................................
Mkuu imani yako itakuponya(kukupa kazi)
nami pia ninakuombea upate sawa na hitaji
lako bila kuchoka.

""Mungu ni MwemA""

Upo wimbo mmoja wa kuabudu kutoka ktk hiyo aya! Kama unao, nijulishe kwani unanikumbusha mbali.............. Taaazama wewe ni Bwanaaaaaa, Mungu wa wote weenyee mwiliiii, je kuna neno gumu lolote usiloooliwezaaaaaa!!
 
Upo wimbo mmoja wa kuabudu kutoka ktk hiyo aya! Kama unao, nijulishe kwani unanikumbusha mbali.............. Taaazama wewe ni Bwanaaaaaa, Mungu wa wote weenyee mwiliiii, je kuna neno gumu lolote usiloooliwezaaaaaa!!



Mkuu huo wimbo sina lakini naamini watakuja
Member wengine wstatupatia hapa hapa.
 
Jamani wanandugu mimi naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni

dah heading na ulichokiandika humu ndani tofauti duh............
 
Jamani wanandugu mimi naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni
Kazi gani unaiotaga wewe.... pengine mi HR naweza kukupatia mapema
 
Jamani wanandugu mimi
naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa
nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi
zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni

Tuzidi kudumu katika maombi, nami ntakuombea....nami nko the same situation.
 
Kazi umeshapata kumbuka kutokupokea rushwa na pia wahudumie watu wote kwa upole na haki. Amen
 
Kazi umeshapata kumbuka kutokupokea rushwa na pia wahudumie watu wote kwa upole na haki. Amen



KUTOKA 23:8


Nawe usipokee rushwa kwani hiyo rushwa
huwapofusha macho hao waonao na kuyapotoa
maneno ya wenye haki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom