Jobless-Graduates Association Press conference

Jobless-Graduates Association Press conference

kikao kiliendaje hapo half london ? Dah nimepamis sana.
 
Mmm wengine 2nataka kuacha kazi 2cmamie miradi ye2 nyie mnawaza kuajiliwa,CCM mnaijua au mnaickia?!

sio lazima hili kundi liwe la kuomba ajira za serikari..tunaweza ku establish connection na makampuni binafsi pia.members wanaweza kutafutiwa kazi kupitia hili jina graduates association.

pia kwa sababu sisi ni wasomi,tunaweza kuanzisha a group of companies chini ya mwamvuli wa 'graduate association'.ni rahisi kupata tenda,market tukiwa na sauti moja.

Tunaweza kupata funding(legal)kutoka serikalini kuanzisha miradi inayosimamiwa na graduates.Ni rahisi serikari itusikilize na kuipa pressure(kama trade unions tu) kujali maslahi yetu.

na mambo mengi tu...
 
Bad enough elimu ya Tanzania inamwamwandaa mhitimu kuajiriwa! Hivi huu muda uliotumia kubuni wazo hili la kuandaa kijikundi cha kiharakati cha kuizodoa serikali kwa kushindwa kutoa ajira haingewezekana kukaa na kubuni wazo ambalo mkiunganisha nguvu kwa namna hii hii mngeza kujiajiri na kuwashawishi na walio na ajira rasmi serikalini wakaacha ajira hizo na kujiunga nanyi?
 
Back
Top Bottom