Ivan mapalala
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 285
- 103
Nimemaliza four four ila sikupata cheti lakini ninafani ya motor vehicle mechanics level two naweza omba
Wajuzi nijuzene
Wajuzi nijuzene
Wa kipi tena nduguA land of imagination
Vyeti unavyo wewe si ujaribu?naomba kuulza hv hamna uwezekano wa kuedit umri kwenye chet hasa leavng
Ndiyo kwanini wasiwpo mdogo wangu pia ameombaKuna aliyefanikiwa kuapply hizi nafasi?
Utalazimika Kubadilinaomba kuulza hv hamna uwezekano wa kuedit umri kwenye chet hasa leavng
Mbna mimi jana nimeapply fresh tu..haijazingua mkuuNajaribu kuapply hizi nafasi kupitia portal yao toka juzi sijafanikiwa...tafadhari aliefanikiwa msaada unahitajika
cyo mbaya chet cha kuzaliwa ni cmple ila hyo leaving kuedit ndo shidaUtalazimika Kubadili
Leaving zote 2
Transcript
Cheti cha Kuzaliwa.
Leaving ndo Simple zaidi Yamejaa Kila Shule Unapiga na Typewriter tuu mchezo Umeisha Ngumu Transcript mi ya kwangu Ina Mwaka wa Kuzaliwacyo mbaya chet cha kuzaliwa ni cmple ila hyo leaving kuedit ndo shida
kwahyo leaving naweza editLeaving ndo Simple zaidi Yamejaa Kila Shule Unapiga na Typewriter tuu mchezo Umeisha Ngumu Transcript mi ya kwangu Ina Mwaka wa Kuzaliwa
Lakini Transcript huwa siyo document muhimu Sehemu nyingine wanaweza wasikuombe hasa Serikalini wanapenda Cheti.
Mbna mimi jana nimeapply fresh tu..haijazingua mkuu
'Sizitaki mbichi hizi'Kazi zenyewe za kikuda hizo hazina inshu
"Thank you, your application is submitted" nakumbuka ujumbe huo..Kuna ujumbe wowote ilikuletea mwisho? Kama upo ni ujumbe gani huo mkuu
Mkuu wewe ni mwenzangu kabisa.nimemaliza degree nikiwa Na 23 now nipo kitaa huu Mwaka wa 3 daaah Mungu TusaidieHao ni waxiuuu tu,.
Yaani wananistaafishaaaa ivi ivii Jaman...
Hapa nina miaka 28 hadi sasa sijaajiriwa alafu leo wananiambia kigezo miaka 25 ,kama Sio waxiuuu ni nn.. Babekiiiii .....mamaeeeee
Hv Cheti cha darasa la VII ni must nn kusubmit uko