matyhans
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 610
- 400
Wao walianza standard one wakiwa na miaka 15Mimi nitamaliza degree yangu nikiwa na 22 & 6 months... Sasa mnashangaaje kigezo cha 25 years? Waacheni wenye bahati zao waaply
Wao walianza standard one wakiwa na miaka 15Mimi nitamaliza degree yangu nikiwa na 22 & 6 months... Sasa mnashangaaje kigezo cha 25 years? Waacheni wenye bahati zao waaply
Jamani email ya PCCB ni IPI?
Nataka nitume maombi ya kaziEmail unahitaji ya nini mkuu?
soma tangazo vizuri acha kukurupukaNataka nitume maombi ya kazi
Nataka nitume maombi ya kazi
Hivi,wewe jamaa una akili timamu?soma tangazo vizuri acha kukurupuka
SawaMkuu unaapply online kupitia website yao utaona system ya kukuwezesha kufanya application...
Nb: usiwe mvivu wa kusoma
Hapana sina aisee... unazo ww unaekurupuka bila kusoma tangazoHivi,wewe jamaa una akili timamu?
BulishitHapana sina aisee... unazo ww unaekurupuka bila kusoma tangazo
Bulishit ndio kitu gani... Hebu kajifunze kuandika kwanza.Bulishit
hawako serious hawa.Not above 25 years..nmepapenda apo sijui kwanini
Watu wapo mkuu tena wengi tuhawako serious hawa.
wanajichanganya. kuna pengne wanasema experience. sasa hapo ndo utaelewa namaanisha nn. umri huo watakuwepo, uzoefu kwa umr huo je?Watu wapo mkuu tena wengi tu
Mzee hata kuitwa hujaitwa..unaulizia mshahara..hahaha! Kila la kheriNaomba kwa yoyote mwenye kujua zaidi kuhusiana na PCCB hususani positions ya assistant investigator muundo wa salary scale. Extra earnings kama posho. Na vitu vingine. Natanguliza shukrani
Ni vizuri kujua A - Z ya kitu chochote unachotaka kufanya. The law of life, maana sa hivi tofauti na zamani ambapo mtu allikuwa anajiendea endea tu. As long as ukijua hamna hasara yoyote kuliko kutokujua.Mzee hata kuitwa hujaitwa..unaulizia mshahara..hahaha! Kila la kheri