GE2025 JNICC: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Inatoa Mafunzo ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi, Kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa

GE2025 JNICC: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Inatoa Mafunzo ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi, Kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hahaha kumbe wapo, ccm imevunja katiba wakapotea nikadhani ofisi ilifutwa na walioianzisha.

Chadema walizuiwa kufanya siasa, na uongozi wa chadema hautambuliwi na ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa kwa kosa la kuvunja katiba yake.

CCM wakasaidiwa wakabadirisha katiba yao ili kuficha makosa yao.

Yani jambazi linaiba halafu linabadirisha katiba ili kuepuka kosa kisheria kwa msaada wa mahakama.
 
Hapo najua mko kimaokoto zaidi, lakini nothing serious. Na kuna watu wanaweza kudhani mna jambo serious hapo.
Issue za gharama za uchaguzi ni issue nyeti sana, tumeshuhudia wagombea wa upinzani walienguliwa kutokana na kukosa fomu ya gharama za uchaguzi.

Sheria inazuia kutumia.fedha mbichi, kila mgombea wa uongozi safari hii, kila mgombea ni lazima awe na account bank, kila fedha za uchaguzi, lazima zipitie bank ili ziwe accounted for.
P
 
Issue za gharama za uchaguzi ni issue nyeti sana, tumeshuhudia wagombea wa upinzani walienguliwa kutokana na kukosa fomu ya gharama za uchaguzi.

Sheria inazuia kutumia.fedha mbichi, kila mgombea wa uongozi safari hii, kila mgombea ni lazima awe na account bank, kila fedha za uchaguzi, lazima zipitie bank ili ziwe accounted for.
P
Baada ya CCM kufanya utakatishaji fedha ndiyo kanuni fake zinafuata
 
Back
Top Bottom