Msukuma 94
Senior Member
- Apr 21, 2017
- 133
- 91
Habarini wakuu samahani napenda wazoefu mnisidie nataka kujua hali ya ushindani wa nafasi za JKT kwa mikoa ya kusini (Ruvuma, Lindi na Mtwara) maana kuna mtu amenishauri kua nafasi zikitangazwa nifunge safari kutuma maombi moja kati ya hiyo mikoa. Nina diploma ya maendeleo ya jamii