JKT 2018 updates

Wote mnà taka kwenda jkt??? Umesha andaa eneo la kwenda kufanya usaili??? Umesha fahamu kila mkoa wilaya wana chukua vijana wangapi??? Kwa nafasi za jkt??? Mme jiandaaje??
 
Hiyo Hbr ya kuongezwa miezi mingine 6 mkuu haina uhakika bado ni Lonja tuu, ila hbr iliyopo watu wanajaza detail zao kuhusu maeneo walikotokea ili serikali iwaandalie nauli zao tayari kwa Kurudi home mkuu, ila wacha tuombe wana wasalimike coz watu wamejila sn na kupoteza time wakitarajia ajira lakini matokeo yake inaelekea kuwa utata tupu
Kuna dogo mmoja yupo jkt ndo mkataba unaisha mwezi wa 11 naogopa hata kumpigia simu ataona namuenjoy tu!
 
Jkt ya sasa sio kama zaman.sahv ukienda ujue 70 lazima wakose ajira.tunacho hofia tukiwaajiri tutawalipa nn
 
Back
Top Bottom