Bonyobonyo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 226
- 233
- Thread starter
- #21
shkran mkuu sem kun wenzetu umu wan one za point 9 na iyo four yngu naonekan hamnazoHongera sana kijana Wang tupo pamoja kwenye hili na utafanikiwa ucjar
shkran mkuu sem kun wenzetu umu wan one za point 9 na iyo four yngu naonekan hamnazoHongera sana kijana Wang tupo pamoja kwenye hili na utafanikiwa ucjar
Kwani Mgambo ni kwa Maskini? Kivipi! naomba nielimishweKwa hiyo form four yako kama umezidi miaka 21 sahau kwenda kwa utawala huu nenda mafunzo ya mgambo kwa sababu naona una dalili zote za umaskini
oky sawa mkuu nimekubali na future yangu ya kimaskini ofcoz m n mtoto wa kimaskini pia tena wa kutupwa heri yako wewBrother hakuna mahali nimekuzarau tatizo lako una future ya kimasikini nukta.
mkuu kun watu ni vichwa humu so kwa iyo four yangu kashauri nijiunge na mgambo kwakuwa ufaul wangu haufai jkt zaid ya mgambo nimeupokea ndaufanyia kaziKwani Mgambo ni kwa Maskini? Kivipi! naomba nielimishwe
nna kila cheti mkuu kuanzia birth certificate mpak fom four umri pia n poa tuombe Mungu tuSubiri November jitahidi vyeti vyako vinakuwa sawa utapata.
Majina na mwaka wa kuzaliwanna kila cheti mkuu kuanzia birth certificate mpak fom four umri pia n poa tuombe Mungu tu
Kuna mafunzo ya mgambo yanaendeshwa huku nilipo wote ni waliofeli shule wengine wamepambana na maisha yakawashinda na fursa hii ya ugambo haihitaji elimu yako inataka utimamu wa mwili tu. Wakimaliza wakajiriwe KK security au walinde tunaotupa uchafu hovyo (mgambo wa jiji)Kwani Mgambo ni kwa Maskini? Kivipi! naomba nielimishwe
cwez kuvianika hapaMajina na mwaka wa kuzaliwa
watu wanadharau dahKuna mafunzo ya mgambo yanaendeshwa huku nilipo wote ni waliofeli shule wengine wamepambana na maisha yakawashinda na fursa hii ya ugambo haihitaji elimu yako inataka utimamu wa mwili tu. Wakimaliza wakajiriwe KK security au walinde tunaotupa uchafu hovyo (mgambo wa jiji)
Kigezo pekee nachokitumia ni muda anaopeteza na atakaopoteza.Unatumia vigezo vipi kupima "future" ya kimasikini na ya kitajiri? . (by the way unamaanisha nini unaposema neno "future" kwa muktadha huu?
Namaanisha viko sawa majina?siku inafika unakuta cheti cha kuzaliwa herufi iantofautiana na cheti cha shule.cwez kuvianika hapa
Hiyo Hbr ya kuongezwa miezi mingine 6 mkuu haina uhakika bado ni Lonja tuu, ila hbr iliyopo watu wanajaza detail zao kuhusu maeneo walikotokea ili serikali iwaandalie nauli zao tayari kwa Kurudi home mkuu, ila wacha tuombe wana wasalimike coz watu wamejila sn na kupoteza time wakitarajia ajira lakini matokeo yake inaelekea kuwa utata tupumkuu mkataba unaweza umeongezwa kwa op magu miez sita mingine nmepata ronja kutok kwa jamaa yangu yupo chomboni
Kwahiyo KK security na nyinginezo ni kwa waliofeli? Na huko kufeli ni kwa ngazi ipi? Elimu? Ajira?Naomba msaada wa vigezo vya hao security!Kuna mafunzo ya mgambo yanaendeshwa huku nilipo wote ni waliofeli shule wengine wamepambana na maisha yakawashinda na fursa hii ya ugambo haihitaji elimu yako inataka utimamu wa mwili tu. Wakimaliza wakajiriwe KK security au walinde tunaotupa uchafu hovyo (mgambo wa jiji)
Ulishaambiwa jkt ni kujitolea.ajira ikitokea ni bahati sasa watu mnataka kufanya lazima.ukibahatika ajira its okee.Hiyo Hbr ya kuongezwa miezi mingine 6 mkuu haina uhakika bado ni Lonja tuu, ila hbr iliyopo watu wanajaza detail zao kuhusu maeneo walikotokea ili serikali iwaandalie nauli zao tayari kwa Kurudi home mkuu, ila wacha tuombe wana wasalimike coz watu wamejila sn na kupoteza time wakitarajia ajira lakini matokeo yake inaelekea kuwa utata tupu
Kuna mafunzo ya mgambo yanaendeshwa huku nilipo wote ni waliofeli shule wengine wamepambana na maisha yakawashinda na fursa hii ya ugambo haihitaji elimu yako inataka utimamu wa mwili tu. Wakimaliza wakajiriwe KK security au walinde tunaotupa uchafu hovyo (mgambo wa jiji)
Sahihi mkuu ht wkt unajaza mkataba wao wanakwambia kuwa unajitolea, Jkt haiajiri sema sasa ndo kuna wkt ss Huwa tunajenga matumaini ya ajira na kuona kuwa km tumeahidiwa ajiraUlishaambiwa jkt ni kujitolea.ajira ikitokea ni bahati sasa watu mnataka kufanya lazima.ukibahatika ajira its okee.
yahp mkuu nilisharekebisha hilo kila kitu kiko sawaNamaanisha viko sawa majina?siku inafika unakuta cheti cha kuzaliwa herufi iantofautiana na cheti cha shule.
ngoj tuone mkuu mamamb yatakavokuwaMkuu hu uzi nta kuwa nao karibu,nime kosa chuo mwaka huu bora niende jkt if possible