Nimekuwa mbali na jamvi kwa muda najua watoto wapya wamezaliwa na wengine wameondoka.Toka jana usiku profile mpya ya JK Twitter imekuwa inaongezeka kwa kasi,katika usiku mmoja amepata followers zaidi ya mia moja.
HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
Join Date : 1st November 2010
Posts : 777
Thanks 23 Thanked 123 Times in 61 Posts
Rep Power : 22
Ushauri: Jk jiunge na twitter!
Tweeting ni njia inayotumika sana sasa hivi kupeleka ujumbe na kupokea ujumbe kutoka kwa watu, Hapo zamani ilikua ngumu sana kuwasiliana na wanasiasa wakubwa au celebrities lakini sasa, thanks to technology, ni kitu rahisi tu.
Si lazima kukaa katika PC, with well protected smart phone, Rais wetu anaweza akawa anawasiliana nasi moja kwa moja kupitia twitter, Kama ataamua kufanya hivi hata upotoshaji wa habari utapungua kwa sababu kila mtu atakua na uwezo wa kuingia na kuona kile JK anasema yeye mwenyewe (sio kupitia kwa wasaidizi wake).
Wapo marais kadhaa wanatumia twitter. Barack Obama amekua akitumia twitter, hii imemsogeza karibu sana na raia wa nchi yake, unapata habari fasta kuliko hata kabla hazijatangazwa na CNN, pia wananchi wanaweza kumwandikia moja kwa moja katika twitter account yake.
Zamani ilikua ngumu sana kuwasiliana na celebrities mbalimbali lakini leo ni rahisi tu 'ukim-tweet' rio ferdinand, au michael owen, au wayne rooney au Antonio Valencia anapata msg yako moja kwa moja nae anaweza kuku-RT, of course si mara zote unapata RT bse watu wengi wanawafatilia na wanawa-tweet lakini at least unaweza kuwasiliana nao moja kw moja.
Please our Lovely President join twitter ili tuwe tunapata updates live bila chenga kutoka hapo magogoni
hiyo post niliiweka last week, nafikiri washauri wake wanapitapita humu ndani ndio maana tunaona mabadiliko haya, ASANTE RAIS KWA USIKIVU, NASHUKURU TUTAKUA TUNAPATA UPDATES
Sure nilipost last week, Seems JK ni msikivu, On a serious note, kama ataitumia twitter fresh itarahisisha sana kupata feedback moja kwa moja kutoka kwetu na sie tutakua tunapata updates live kutoka kwake, sio hadi zichakachuliwe na wasaidizi wake. Wapo viongozi wengi sana wanatumia twitter sasa hivi, britain kuna kampeni ya kumshawishi prince william ajoin twitter, nimeona updates mara kwa mara katika account ya JK, GREAT MOVE!
HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
Hongera sana Mhe Kikwete sasa tayari wewe ni maarufu sana na nchi kuweza kutawalika vizuri zaidi bila kujali kama wanaojitokeza huko kwenye Twitter kukufuatilia wanataka tu kuona jinsi ULIVYO KITUKO CHA AJABU sana kiutawala wa taifa lwtu!!!
Na kwa mtaji wa huo umaarufu mpya, itabidi wengine twende tukaiombe African Union wakuazime kidogo uende kuleta amani kwa Alhaji Qadhafi kule Libya sawa sawa jinsi ulivyoweza pia kumsaidia Rais saana Gbagbo kule Ivory Coast.
Nimekuwa mbali na jamvi kwa muda najua watoto wapya wamezaliwa na wengine wameondoka.Toka jana usiku profile mpya ya JK Twitter imekuwa inaongezeka kwa kasi,katika usiku mmoja amepata followers zaidi ya mia moja.
HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
uko nyuma sana dogo, wewe ni mshamba na hauko exposed
Dunia inaenda speed sana, mitandao isiyo ya kisharobaro ambayo we unatumia ni ipi sasa, JF? hahahahaaa hata JF wako kwenye twitter na wana-mfollow JK, Obama, Kagame na watu wengine kibao...shtuka dogo dunia inaenda speed balaa, sasa hivi otganisations kubwa kama IDF, BBC, CNN pamoja na miguvu yao wanatumia twitter, unajua kwa nini? huko ndio dunia inakoelekea, people are depending more more on twitter for instant updates
HIVI HUYU MZEE MUDA WAKE WOTE KWENYE INTERNET ANAFANYA KAZI SAA NGAPI????WASWAHILI BWANA,LABDA MUDA MWINGI ANAKUWA KWENYE PORN FOTOS:frusty::frusty::frusty::frusty::frusty:
duh! wewe ni TOPTHINKER? kutumia twitter haimaanishi kuwa anashinda kwenye internet masaa yote, wala kujua yanayoendelea kwenye mtandao haimaanishi anashinda muda wote ktk internet, with nowadays advanced PDAs and Smartphones ni rahisi tu kuwa na simu nzuriinayokua procted vizuri na akawa anatweet on the move.
Hebu fikikiri ule muda anasafiri kwenda Bagamoyo kama yuko connected si anatupia tu tweet mbili tatu nasi tupate kujua yanayojiri, au anaingia JF kucheck check michakato ilivo, hii itamsaidia kuwa close na wananchi, unajua hizi taarifa za kuletewa mezani tu sio poa, nyingine inabidi awe anazipata straight from street na internet is the real deal for this.
duh! wewe ni TOPTHINKER? kutumia twitter haimaanishi kuwa anashinda kwenye internet masaa yote, wala kujua yanayoendelea kwenye mtandao haimaanishi anashinda muda wote ktk internet, with nowadays advanced PDAs and Smartphones ni rahisi tu kuwa na simu nzuriinayokua procted vizuri na akawa anatweet on the move.
Hebu fikikiri ule muda anasafiri kwenda Bagamoyo kama yuko connected si anatupia tu tweet mbili tatu nasi tupate kujua yanayojiri, au anaingia JF kucheck check michakato ilivo, hii itamsaidia kuwa close na wananchi, unajua hizi taarifa za kuletewa mezani tu sio poa, nyingine inabidi awe anazipata straight from street na internet is the real deal for this.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.