mh rais dr Jakaya Kikwete ana mambo mengi ya kuzungumzia u nani mpaka umwambie rais ajibu maswali yako, kwani uongo yeye ni mvua unafikiri atajazaje maji mtera? Mipango thabitii inahitaji muda sali mvua inyeshe. Hela inashuka thamani kutokana na mtikisiko wa uchumi. Kingine ngeleja ajiuzulu kisa umeme ?? We vipi mke haachwi kwa kosa moja mpeni nafasi.