apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Katika sura inayoonyesha Pinda kaagizwa , hatupaswi kuwa na shaka na maamuzi yake kwani Mkulu yuko Ikulu (Magogoni) na Naibu Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Bw. Johnie Carsons kwa issue ya umeme (uwekezaji wa megawati 3000).Mr Megawatt (Ngeleja) nae yupo. Pinda kaambiwa akiwashindwa madaktari nae aje na barua ya kujifukuzisha.
Tazama
Na hapa
Huyo kwenye picha.
Tazama
Na hapa
Huyo kwenye picha.