MawazoMatatu JF-Expert Member Sep 6, 2008 505 61 Jul 9, 2010 #1 Hivi kiongozi wetu anaombaga zawadi hizi au ni wanamjua jinsi alivyo na mapenzi na jezi hizi za wachezaji maarufu...? hii ni mara yangu ya tano kumuona Rais akipokea zawadi za aina hii..! http://1.bp.blogspot.com/_1fXMXYztr0w/TDSl9IhSJdI/AAAAAAAAa24/9Hdfrbvt-u4/s1600/11.jpg
Hivi kiongozi wetu anaombaga zawadi hizi au ni wanamjua jinsi alivyo na mapenzi na jezi hizi za wachezaji maarufu...? hii ni mara yangu ya tano kumuona Rais akipokea zawadi za aina hii..! http://1.bp.blogspot.com/_1fXMXYztr0w/TDSl9IhSJdI/AAAAAAAAa24/9Hdfrbvt-u4/s1600/11.jpg
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Jul 9, 2010 #2 Huenda anakusanya jezi za kufanyia mazoezi...!!!ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:
Huenda anakusanya jezi za kufanyia mazoezi...!!!ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:ound:
B Bulesi Platinum Member May 14, 2008 14,214 13,730 Jul 9, 2010 #3 Wanamfanyia utafiti na kujua vitu anavyovipenda!!
hermes Member Jul 15, 2010 17 0 Jul 15, 2010 #4 labda anazikusanya jezi ilikuweza kuzigawa wakati wa kampeni zake ili aonekane kuwa ni kweli mwanamichezo.:A S-eek:
labda anazikusanya jezi ilikuweza kuzigawa wakati wa kampeni zake ili aonekane kuwa ni kweli mwanamichezo.:A S-eek: