KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Magufuri chaguo bovu kabisa!
Right Magufuli for Presidential. Mishagi bagosha pye Ntemi wise uyo. Lemagi tuja! Merci merci!
JK amesema hakuna mwanaccm aliyetegemea Magufuli atachaguliwa bali yalikuwa ni mapenzi ya Mungu! Amesema Magufuli ni mchaMungu, asiye na majivuno na ni mchapakazi. Amedai alipomuuliza Magufuli kama ana watu wake yeye alimjibu kwa unyenyekevu kuwa watu wake ni CCM! source itv habari.
acheni uchochezi, ITV hawana habari kama hiyo.JK amesema hakuna mwanaccm aliyetegemea Magufuli atachaguliwa bali yalikuwa ni mapenzi ya Mungu! Amesema Magufuli ni mchaMungu, asiye na majivuno na ni mchapakazi. Amedai alipomuuliza Magufuli kama ana watu wake yeye alimjibu kwa unyenyekevu kuwa watu wake ni CCM! source itv habari.
USIWE MJINGA WEWE. UNAKAA BILA KUJISHUGHULISHA UNASUBIRI SERIKALI IKUPE MAISHA BORA!! FANYA KAZI WEWE ACHA ULOFA!!Mm nashauri tuu wakija kutuomba kura zetu tena tuwaulize yako wapi Yale maisha bora waliyotuahidi
Mtu aliyesema hapangiwi kitu na mtu hawezi kukosa majivuno.JK amesema hakuna mwanaccm aliyetegemea Magufuli atachaguliwa bali yalikuwa ni mapenzi ya Mungu! Amesema Magufuli ni mchaMungu, asiye na majivuno na ni mchapakazi. Amedai alipomuuliza Magufuli kama ana watu wake yeye alimjibu kwa unyenyekevu kuwa watu wake ni CCM! source itv habari.
Labda anamaanisha Mungu Mkapa.Mapenzi ya Mungu wakati alitowa kimemo chenye majina mfukoni
Mkapa kiboko yenu Wapinzani! Hamtamsahau kwa kuwaita Wapumbavu na MalofaLabda anamaanisha Mungu Mkapa.
Nani mpinzani?Mkapa kiboko yenu Wapinzani! Hamtamsahau kwa kuwaita Wapumbavu na Malofa
Aliyeitwa Mpumbavu na LofaNani mpinzani?
Yeyote anaweza kumuita yeyote mpumbavu na lofa.Aliyeitwa Mpumbavu na Lofa
Unaweza kumuita hata baba yako pia kwa kuwa una dalili za kutokuwa na adabu!Yeyote anaweza kumuita yeyote mpumbavu na lofa.
Hata mimi naweza kukuita wewe mpumbavu na lofa.
Adabu huwezi kuijua hata ikiwa chini ya pua yako.Unaweza kumuita hata baba yako pia kwa kuwa una dalili za kutokuwa na adabu!