kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Ndg wana jf ni wajibu wetu kuendelea kudai na kukumbushia ahadi muhimu kwa uchumi na maendeleo yetu ambazo Rais Kiwete aliahadi wakati anagombea urais kwa awamu ya Kwanza na ya pili lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatelezeka zaidi ya miaka 7 au 2 iliyopita baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi 2005/2010
Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo.
1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda
2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996.
3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara.
4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda.
5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi.
Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.
Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo.
1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda
2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996.
3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara.
4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda.
5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi.
Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.