JK Timiza ahadi zako za Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Misenyi na Meli Mkoani Kagera

kanga

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
1,025
494
Ndg wana jf ni wajibu wetu kuendelea kudai na kukumbushia ahadi muhimu kwa uchumi na maendeleo yetu ambazo Rais Kiwete aliahadi wakati anagombea urais kwa awamu ya Kwanza na ya pili lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatelezeka zaidi ya miaka 7 au 2 iliyopita baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi 2005/2010
Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo.
1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda
2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996.
3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara.
4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda.
5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi.
Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.
 
Mkuu, Mbona jamaa alishakiri kwamba ahadi zake huwa hazitekelezeki!
 
Mitanganyika haina uvumilivu, ndio kwanza mwaka wa pili huu, na ahadi za Mh ni za miaka mitano 2010-2015.

subiri na muwe na subra vijana

na zile alizoahidi kipindi cha kwanza utawala wake pia tusubiri miaka hii miwili?
 
Duh! hapo misenyi ndo kwetu, ndo nilikuwa nategemea ajira lakin mpaka sasa naona matokeo yanakuwa sifuri! jk ebu kuwa serious na ahadi zako, tutamtolea mbavuni atakayekuja kuomba urais kupitia chama chako. muda c mrefu mtaumbuka
 
imemshinda kujenga bandari ya kimataifa pale wilayani kwake bagamoyo huko ndo ataweza??
chezea mswahili na porojo wewe.......
 
Bajeti ya serikali ni trilioni 15 kwa mwaka wa fedha, na ahadi za jamaa thamani yake ni trilioni 96, sasa unadhani zawezaje kutekelezwa? Kwanza alishasahau ahadi alizoziweka!!!
 
Ndg wana jf ni wajibu wetu kuendelea kudai na kukumbushia ahadi muhimu kwa uchumi na maendeleo yetu ambazo Rais Kiwete aliahadi wakati anagombea urais kwa awamu ya Kwanza na ya pili lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatelezeka zaidi ya miaka 7 au 2 iliyopita baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi 2005/2010
Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo.
1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda
2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996.
3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara.
4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda.
5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi.
Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.

Meli ya MV Bukoba ilizama ziwa Victoria tarehe 21 Mei 1996. MV Butihama haijazama ipo. Rekebisha hapo kwani hata mahakamani wewe waweza shindwa kiurahisi kwa kukosea hoja kizembe. Mhe JK akisema hajaahidi kuwaletea meli badala ya MV Butihama utasemaje?
 
Ndg wana jf ni wajibu wetu kuendelea kudai na kukumbushia ahadi muhimu kwa uchumi na maendeleo yetu ambazo Rais Kiwete aliahadi wakati anagombea urais kwa awamu ya Kwanza na ya pili lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatelezeka zaidi ya miaka 7 au 2 iliyopita baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi 2005/2010
Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo.
1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda
2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996.
3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara.
4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda.
5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi.
Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.

Meli ya MV Bukoba ilizama ziwani Victoria tarehe 21 Mei 1996. MV Butihama haijazama ipo. Rekebisha hapo kwani hata mahakamani wewe waweza shindwa kiurahisi kwa kukosea hoja kizembe. Mhe JK akisema hajaahidi kuwaletea meli badala ya MV Butihama utasemaje?
 
Jk hawezi kutekeleza ahadi zote hizo kumbuka hiyo ili kuwa ni aina ya rushwa kwa wapiga kura sasa mngeweza kumpa kura hivihivi.mkono mtupu haulambwi.subirini mpaka mwaka 2015 mtakapo kujakuambiwa kuwa tumeanza kutekereza ahadi zetu hivyo tupeni kura tena ili tumalizie pale tulipoishia. kumbe wajinga ndio waliwao.
 
Anajiandaaa kwenda msibani akapumzike pia maana akitoka kwa Saitoti anakwenda kwa Makamu wa Saitoti then labda hadi kipindi hicho Mzee Mubarak atakua naye tayari (maana washaanza kumzushia) kwa hio ataunganisha trip, atakwepa moto wa bunge kidogo
 
Aliwaingiza chaka kwa kuwapa ahadi hewa. Poleni sana watu wa misenye, endeleeni tu kusubiri huo uwanja wa ndege. Imekula kwenu.
 
Ndg wana jf ni wajibu wetu kuendelea kudai na kukumbushia ahadi muhimu kwa uchumi na maendeleo yetu ambazo Rais Kiwete aliahadi wakati anagombea urais kwa awamu ya Kwanza na ya pili lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatelezeka zaidi ya miaka 7 au 2 iliyopita baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi 2005/2010 Katika mkoa wa Kagera JK aliahadi miradi mingi mikubwa na midogo lakini utekelezaji wake ahaupo kama ifuatavyo. 1.Kujenga uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa katika wilaya ya misenyi 2010 ili kuweza kutumika kwa ajili yawasafiri wa DRC ,Rwanda na Uganda 2.Kununua na kuleta Meli kubwa kwa ajili ya wananchi kufidia meli ya Butiama iliyozama kwenye ziwa Vicktoria mwaka 1996. 3.Kujenga barabara ya lami kutoka Bugene-Karagwe kwenda Ngara. 4.Kujenga barabara ya lami kutoka Karagwe kwenda Murongo mpakani mwa Uganda. 5.Kujenga barabara ya lami kutoka Kyaka kwenda Kayanga mwaka 2005 ,lakini barabara ujenzi umeanza mwaka jana na umesimama kutokana na kuosefu wa fedha ,wakandarsi wachina wamegoma kuendelea na ujenzi. Tuendelee kubainisha ahadi kubwa na muhimu katika maeneo yetu kubaini ufanisi au ujanja ujanja wa JK na chama chake ili wakati wa uchaguzi mwingin giliba na ufisadi wa maneno yadhibitiwe.

1. Mkuu ni MV Bukoba siyo MV Butiama.
2. Aliahidi kujenga lami kutoka Kayanga karagwe hadi Benaco Ngara
3. Aliahidi lami kutoka Ngara hadi Rulenge.
4. Kuhusu Uwanja wa Missenyi unanichekesha, nilinunua hadi kiwanja kuwekeza pale lakini imebakia historia. Najishangaa mwenyewe. Ha ha ha ha ha ha haaa

Lakini tumsamehe, hawezi tena kazi hii, atuuzie nchi tu CDM watajenga kwa miaka 3 tu.
 
Back
Top Bottom