chamba matwe
Senior Member
- Jan 12, 2015
- 168
- 30
Chezea chama cha majanja,kitaibuka na kitu mtashangaa kimetokea wapi.Na kitapita tu mtake msitake.Sasa wako kilingeni kinawaangalia mnavyokwenda ovyo,hivi mtu kutoka Bunambiu anaelewa mabadiliko ni kitu gani?