Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 923
Dawa ni moja na wao watangaze takwimu nyingine,wase waislam ni 80% na wakristo ni 20% atakaye bisha apelekwe mabwepande akakumbatie msitu
mkuu jibu swali moja moja ili tuelewaneTunataka tujuwe tuko wangapi!!! Elimu ya kikristu ni shda, unauliza swali huku majibu unayo......
Ndo maana nikasema wanaweza kujifunza kwa wenzao walivyofanya badala ya kutumiwa na watu wenye maslahi binafsi na nia mbaya kwa taifa letu.hao waslam si wafanye sensa yao ili kujua wapo wa ngap?
mzee 1957 then 1967 sio sabini
"Chifu kimweri wa usambaani na wanawe walikua wanajua kusoma kiarabu",WAARABU hawakupita Tanganyika na kama walipita ni mwaka gani na maeneo yepi?
Tunataka tujuwe tuko wangapi!!!
Elimu ya kikristu ni shda, unauliza swali huku majibu unayo......
hao waslam si wafanye sensa yao ili kujua wapo wa ngap?
Dawa ni moja na wao watangaze takwimu nyingine,wase waislam ni 80% na wakristo ni 20% atakaye bisha apelekwe mabwepande akakumbatie msitu
Mwaka 1967 Serikali iliondoa kipengele cha dini ktk sensa ya wananchi wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania kwa Sababu Kinaweza Kuleta Matatizo ya Udini.
Kinachowakwaza n...i takwimu za idadi ya watanzania kuonyeshwa kulingana na imani ya dini zao UKIZINGATIA UKWELI KWAMBA toka 1967 kipengele hicho kilishaondolewa
Taasisi zenye takwimu hizo ni kama ifutavyo:-
1.Ofisi ya waziri mkuu inadai wakristo ni 45% waislam 35% Na hili limo kwenye Calender zinazotolewa na ofisi ya waziri mkuu.
2.TBC 1 Tar 26 April 2012 Imetangaza kuwa takwimu zinazoonyesha wakristo ni 52% waislam 32%..
3. Bodi ya utalii imeonyesha katika Website yao wakristo ni 45% waislam 40% (taarifa ambayo kwa sasa wameindoa baada ya taasisi za waislam zinazopinga zoezi hilo kutumia kama reference).
4. Wakatoliki tovuti yao (www.rc.net ) wanadai waislam ni 34% na wao ni 44%
(Wanadai waislamu ni lini walihesabu?).
5. Pia wanadai takwimu za nama hiyo zipo kwenye Ramani zile kubwa kabisa zinazoonyesha nchi yetu na nchi ilizopakana nazo na kwenye http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania#Religion
WANADAI kuwa Takwimu hizi za uongo zimekuwa zikitumiwa ktk uteuzi na maamuzi, kama ilivyoelezwa kuwa Tanzania haiwezi kujiunga na jumuiya ya kiislamu ya OIC sababu raia wakristo ni wengi kuliko waislam.
Je, madai hayo yanatosha kuwa sababu ya kugomea sensa MPAKA KIPENGELE CHA DINI KIWEKWE ILI KUONDOA UTATA WA TAKWIMU????....
TUMIA AKILI YAKO KUAMUA KESHO NDIO ZOEZI LINAANZA
AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO(usiwe KILAZA)
mi mtu poa sanawe mtu vip...
si wajihesabu misikitini kwanini wanang'ang'ania kuhesabiwa na serikali?wanataka kujua wako wangapi.... kwisha..hayo mengine ya why this waachie wao
kama ni hivi nami nitafanya sensa yangu
Sipati picha kama vitabu vya dini ya kikristo vingekuwa vinasema kuwa Waislamu ni Makafiri!