JK na mchina chomboni

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,529
196
190650_10150114689314227_586609226_6578671_6477474_n.jpg
 
Bora tumiliki ndege za kivita ili tuwa na amani, kuna dalili vikosi vya smz ambavyo vikosi tiifu kwa rais wa zanzibar pekee chini wa baraza la mapinduzi lenye uwezo wa kutangaza vita kwa kupitia waziri wa ulinzi wa zanzibar, kule wanamwita waziri wa nchi afisi ya rais vikosi, vinajifua kinoma, wasije wakabonyeza wao mwanzo, na ikulu yetu iko njiani...
 
Sio rahisi kuuliza swali kama hilo kwani JK alikuwa ofisa wa jeshi. Angekuwa yule Padri wa Canon Law ningeweza kufikiria hivyo!
 
Back
Top Bottom