Bora tumiliki ndege za kivita ili tuwa na amani, kuna dalili vikosi vya smz ambavyo vikosi tiifu kwa rais wa zanzibar pekee chini wa baraza la mapinduzi lenye uwezo wa kutangaza vita kwa kupitia waziri wa ulinzi wa zanzibar, kule wanamwita waziri wa nchi afisi ya rais vikosi, vinajifua kinoma, wasije wakabonyeza wao mwanzo, na ikulu yetu iko njiani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.