Bora tumiliki ndege za kivita ili tuwa na amani, kuna dalili vikosi vya smz ambavyo vikosi tiifu kwa rais wa zanzibar pekee chini wa baraza la mapinduzi lenye uwezo wa kutangaza vita kwa kupitia waziri wa ulinzi wa zanzibar, kule wanamwita waziri wa nchi afisi ya rais vikosi, vinajifua kinoma, wasije wakabonyeza wao mwanzo, na ikulu yetu iko njiani...