hakuna kitu tuko vizuro kwayo!hata hili la protokali za picha na rais!Kiprotokali na kiheshima, mkubwa hawezi kukaa pembeni ya picha ambayo itashirikisha watu zaidi ya watatu, JK ndio alipaswa kukaa katikati na huyo Msanii angekaa kushoto kwa JK,
Picha haina tafsiri nzuri
Mimi sio msafi lakini huyu dogo hajatulia, hawezi kuwa kioo cha jamii kama msanii sijui JK anatoa picha gani kwa jamii!!!
Mimi sio msafi lakini huyu dogo hajatulia, hawezi kuwa kioo cha jamii kama msanii sijui JK anatoa picha gani kwa jamii!!!
Kafanana na mama Salma.
Ukiwa na hela na maarufu unaenda ikulu
heee!!!! malizia kusema.
Kiprotokali na kiheshima, mkubwa hawezi kukaa pembeni ya picha ambayo itashirikisha watu zaidi ya watatu, JK ndio alipaswa kukaa katikati na huyo Msanii angekaa kushoto kwa JK,
Picha haina tafsiri nzuri