Ukiwa na hela na maarufu unaenda ikulu
Mimi sio msafi lakini huyu dogo hajatulia, hawezi kuwa kioo cha jamii kama msanii sijui JK anatoa picha gani kwa jamii!!!
very bad! dogo amepiga picha na prezidaa akiwa na nguo hizo!!! bora hata angevalishwa nguo za kijani!