makofi kwa muheshmiwa pr:jk weweeeeeeeeeeeeeeeeee,yani jamaa anakubalika,tupo kwa ajili yako jk wala si kwa ajili ya c.c.m au chadema!mpaka mwisho wa safari yako.
mungu ibariki tanzania,dumisha uhuru na umoja!
Hiyo hotuba ni ya mwisho wa mwezi ama mwanzo wa mwezi? Ilikiwa humi jamvini muda mrefu ikijadiliwa,ama imebadilishwa?
Sie tnacheki euro final bwana, hana mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.