JK kwenda Uingereza wiki ijayo

nahisi huko majuu wamemchoka safari zote hizi..saizi anachukuliwa kama mwenyeji tu.!
 
Mwenye kujua hii ni ya ngapi atupatie update, ili tuweke rekodi sahihi mtembezi kama kawa afanye nini sasa hana kazi
 
Watanzania walio UK shikeni mabango ya kumuuliza amekwenda kufanya nini wakati watu wanakufa nyumbani
 
I wish he travels and never to come back forever or at least not before 2020!
 
jk + UDHAIFU wa serikali yake!


Anaenda kuwalamba miguu Wakuu wake!

Tunalijua hilo!
 
Sasa kama urais umemshinda mnataka akae bongo afanye nini? Nchi iko kwenye "auto pilot" mwacheni atanue, hata mwezini akitaka aende.
 
Jana akiwa viwanja vya sabasaba alitamka ya kuwa yeye anatembea kweli kweli kwahiyo anajua mengi.Rais wetu ana uwezo mfupi wa kujali mali za umma.
 
Back
Top Bottom