Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
JK kutengeneza Mabilionea 100 watanzania 1015, New York
Rais Jakaya Kikwete amesema huu ndiyo mpango wake hata kama atakuwa ametoka madarakani, mazunguzo haya yalifanyinka nchini marekani katika ziara yake ya mwaka huu Sep.2007,
akimkabizi muheshimiwa R.Mengi kazi hiyo ili kuweza kutafuta pesa za kuwasaidia wafanyabiasha hao ambao wata saidia wengi kwa kiasi kikubwa, kwa mimi niliona nimpango mzuri sana tuweze kuwa na watanzania mabilionea na kushika sehemu muhimu za uchumi wa nchi yetu ikiwa nipamoja na madini, utalii, elimu, na nyingine zilizoka Tanzania.
Muh. Mengi aliuliza pesa atapata wapi JK akamuwambia sijui nikazi nimekupa,
pesa hizo zitakuwa zina kopeshwa wafanyabiashara kwa vikundi na ni kiasi kukubwa na siyo pesa kidogo,
Rais aliongea kwa uchungu akisema uchumi wetu umeshikiliwa na wageni wakati sisi hatuna kitu,
katika safari yake hii haikuwa na wafanya biashara wakigeni kwasababu wao hawana shida na safari kama hizi
kwawale wanao jua hii habari zaidi basi watanisaidi kuongezea haya ndiyo ninayo kumbuka tu.
asanteni
Rais Jakaya Kikwete amesema huu ndiyo mpango wake hata kama atakuwa ametoka madarakani, mazunguzo haya yalifanyinka nchini marekani katika ziara yake ya mwaka huu Sep.2007,
akimkabizi muheshimiwa R.Mengi kazi hiyo ili kuweza kutafuta pesa za kuwasaidia wafanyabiasha hao ambao wata saidia wengi kwa kiasi kikubwa, kwa mimi niliona nimpango mzuri sana tuweze kuwa na watanzania mabilionea na kushika sehemu muhimu za uchumi wa nchi yetu ikiwa nipamoja na madini, utalii, elimu, na nyingine zilizoka Tanzania.
Muh. Mengi aliuliza pesa atapata wapi JK akamuwambia sijui nikazi nimekupa,
pesa hizo zitakuwa zina kopeshwa wafanyabiashara kwa vikundi na ni kiasi kukubwa na siyo pesa kidogo,
Rais aliongea kwa uchungu akisema uchumi wetu umeshikiliwa na wageni wakati sisi hatuna kitu,
katika safari yake hii haikuwa na wafanya biashara wakigeni kwasababu wao hawana shida na safari kama hizi
kwawale wanao jua hii habari zaidi basi watanisaidi kuongezea haya ndiyo ninayo kumbuka tu.
asanteni