Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Si ametaka mwenyewe kuwatembele vijana wake huko jela, alilazimishwa?
Nyege mbaya sana!
Si ametaka mwenyewe kuwatembele vijana wake huko jela, alilazimishwa?
Nadhani hii title imekosewa, unaposema ataunguruma ulimaanisha nini? tangu lini jk akaunguruma?
Rais wa JMT Mh. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa uwanja wa mpira ya Sheikh Karume tarehe 12/11/2011 kufungua kampeni ya Surua ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu aingie awamu ya pili. Hii itakuwa ziara ya kwanza kubwa kufanywa in public na JK baada ya kutoonekana Arusha kutokana na blow waliyopata CCM kwenye uchaguzi mkuu 2010 uliompa ushindi Mh G. Lema(CHADEMA) kuongoza jimbo la Arusha.
Hakuna mtu anayejua kwa nini ziara hii inafanyika wakati mbunge wa Arusha mjini na mwakilishi wa wananchi wa jimbo la Arusha akiendelea kuwa mahabusu. Tunaomba wakazi wa Arusha wajitokeze kwa wingi ili kumshangilia na kumpa mapokezi makubwa rais wetu mpendwa:A S embarassed:
Tunamwomba kwa dhati JK asitume mwakilishi bali aje mwenyewe kwani kwa muda mrefu tume-mmiss mno mno presidee wetu!!!
Hata hivyo haijajulikana kama Lema ataachiwa kwa muda kuja kumpokea Rais then arudi mahabusu au watamwomba m/kiti wa CCM Wilaya au Ole Milya kama mwakilishi wa wananchi kwenye mkutano huo??????????:embarassed2:
​labda ka amekua SIMBANadhani hii title imekosewa, unaposema ataunguruma ulimaanisha nini? tangu lini jk akaunguruma?